Atacms
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,455
- 7,907
hiyo ticket slip inayo onesha 18M iko wapi ili tujue tuna kushauri nn kijanaNaacha aisee kubet sio kazi rahisi
hiyo ticket slip inayo onesha 18M iko wapi ili tujue tuna kushauri nn kijanaNaacha aisee kubet sio kazi rahisi
Mimi nazijua hizi mamboUtakuja kulia sasa hivi
Exactly ni pyramid scheme.Hii ni Qnet au network marketing?
PYRAMID SCHEME A.K.A UPATUUUU
#YNWA
Ukianza kufaidika nigawieCollateral zao ni zip ili mi niweze kuwekeza hela angu ukoo?
Mimi siyo mlokole, lakini aendelee kujidanganya tuNdivyo walokole wengi mnavyo danganyana wakati kuna watu wamejenga nyumba za kisasa kwa pesa ya kubet.
Njoo small planet Tabata hapa tupange mipango thabiti! Kuna deal lipo mpakani mwa bongo na burundi!
Cha msingi nakupa line tupige hela wote maana sisindikizi mtu kwenye utajiri,,,tutajirike wote kwa hio hela inatutoa kabisa!
Toa million 2 iweke kwenye kubet tafuta odd 2 Kwa siku weka 100k faida 100k fanyaga Kwa siku 30 kila mwisho wa mwezi unafunga Hesabu Una angalia profit ni ngapi itabaki 16 toa 3m tafuta boda boda 2 za 1.5m 2 Kwa siku zitakuwa zinakuletea 20k Kwa mwezi 600k itabaki 13m toa 1m au 1.5m tafuta kiwanja utaanza kujenga kidogokigo faida unayo pata kwenye biashara. Imebaki 12m fungua Duka la mitumba la 2m Una nunua mitumba grade A jinsi or t-shirt itabaki 10m toa 5m kafungue fixed account bank funga Kwa miaka 5 ukijafungua utakuta faida kibao. 5m ilio Baki utajua wew ufanyie
Jamaa naona anaflow tu😃😃😃Hivi unajua hesabu ya pikipiki kwa cku ni sh ngapi? Usimpoteze mwenzako kwa dili zisizo za maaana
Kanisa linapitia kipindi kigumu sana. Limejaa watu wasiofanana na kanisa nao wamepewa uongoziKanisa
Exactly ni pyramid scheme.
Kuna bank jina kapuni inatoa 5% faida kwa muda wa mwaka 1.Uko sahihi kwenye kuweka fixed ila huo usahihi kwenye faida ya 25m-30m unanipa mashaka unless ataiweka kwa more than 10yrs
Bank nyingi fixed rate yake huwa haizidi 10% sp
Umeona sasa so simply hyo faida haipoKuna bank jina kapuni inatoa 5% faida kwa muda wa mwaka 1.
Hapo sijui kodi inakuwaje.
kumbe umestukia mkuu
afungue absa account ya bonus saving wanakupa 1% interest ukitunza pesa yako kwa miez mitatu minimum balance n 500,000 so mfano akiweka 15m kwa miez mitatu mfululizo anpt laki na nusu kama interest. so aanze hivo uku akiendelea kufikilia biashara zingineUmeona sasa so simply hyo faida haipo
Fixed akaunti unaifaham vizuri au ulijisemea tu. Awekeze bila faida ya kueleweka?Kafungue fixed account..weka 15m..iliyobaki weka ya kuanzia maisha chuoni..endelea kusoma kwanza...
Asilimia 5? Acheni kumdanganya akaja poteza muda wake. Asilimia ni 1.5. Kama anahela nyingi sana mfano 500m anaweza negotiate na benki lakini siyo kwa 18m.Kuna bank jina kapuni inatoa 5% faida kwa muda wa mwaka 1.
Hapo sijui kodi inakuwaje.
Asilimia 5? Acheni kumdanganya akaja poteza muda wake. Asilimia ni 1.5. Kama anahela nyingi sana mfano 500m anaweza negotiate na benki lakini siyo kwa 18mKuna bank jina kapuni inatoa 5% faida kwa muda wa mwaka 1.
Hapo sijui kodi inakuwaje.