Naacha aisee kubet sio kazi rahisiUnaacha kubet au unaendelea..!??
Hapo umeniacha kidimbwi ndo wapi?Njoo kidimbwi kiongozi tukupe maelekezo
Wrka pesa yote upate milioni 36 nice investment huh!!!Naomben ushaur jmn.nimebet jana nimeshinda 18m sasa sielew hii pesa ni invest wap ili iweze ku multiply.........
Msaada plz
mawazo mazuri yatapatikana katika mvinyo mkuuNjoo kidimbwi kiongozi tukupe maelekezo
Huyo alikuwa addicted kwelikweliKuna ndugu yangu alichukua hela za kanisa akaenda kubet.. million 2.
Akaweka mechi 2,akaliwa.
Hadi Sasa haelewi atawaambia watu nini kuhusu hela zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa million 2 iweke kwenye kubet tafuta odd 2 Kwa siku weka 100k faida 100k fanyaga Kwa siku 30 kila mwisho wa mwezi unafunga Hesabu Una angalia profit ni ngapi itabaki 16 toa 3m tafuta boda boda 2 za 1.5m 2 Kwa siku zitakuwa zinakuletea 20k Kwa mwezi 600k itabaki 13m toa 1m au 1.5m tafuta kiwanja utaanza kujenga kidogokigo faida unayo pata kwenye biashara. Imebaki 12m fungua Duka la mitumba la 2m Una nunua mitumba grade A jinsi or t-shirt itabaki 10m toa 5m kafungue fixed account bank funga Kwa miaka 5 ukijafungua utakuta faida kibao. 5m ilio Baki utajua wew ufanyie nnNaacha aisee kubet sio kazi rahisi
Hunipendi wwNjoo mjini tukupeleke chimbo lenye mademu wakali ..
Hapo siku chache kabla alikuwa anaelezea kuhusu betting.Huyo alikuwa addicted kwelikweli
Mwambie awaambie kua;Kuna ndugu yangu alichukua hela za kanisa akaenda kubet.. million 2.
Akaweka mechi 2,akaliwa.
Hadi Sasa haelewi atawaambia watu nini kuhusu hela zao.
Sent using Jamii Forums mobile app