Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,030
- 40,068
Matapalei fursa zipi😂😂 kule kwenu mnakimbia vibaka.Yes, tunasaka fursa.
Sisi tunakuja kwenye mikoa yenu kuanzisha business na kuchukua fursa ambazo ninyi wakazi hamzioni au hamna akili yakutumia hizo opporunity kwa faida za kibiashara.
Jifunze kufikiri kwa kina.
Namna yako yakufikiria ipo chini. Kumradhi nimetumia maneno makali.
Lakini si ndiyo ukweli huo?
Mkija huku Kuna jua kali msivae Makoti mnaonekana kama bodaboda na washamba.
Kumbe unajua kujitetea 😂