Niliyoyaona Jijini Mwanza

Niliyoyaona Jijini Mwanza

Hayo ni madai yako.

Sasa kazi kwako kuthibitisha.

Tuanze na bangi. Je, wewe umevuta bangi na vijana wa A town? Au ulifahamu kwa namna gani?

Pili ushoga. Je, wewe binafsi umeshafanya ushoga mara ngapi ukafahamu hili?
Tunaishi nao njoo njiro nikuonyeshe hadi aibu
 
Wakuu wazima?

Nafikiri kuna kapost kangu niliwah post humu kuuliza sehem nzuri ya kupumzika kwa hapa Mwanza.
Sasa kwa kipindi hiki cha wiki 2 nilizokaa huku hay ndo niliyoyaona na kujifunza

1. Wanawake wanapiga kazi sana huku(wanajishughulisha) mida ya jioni barabarani utakutana nao sana wakiuza either matunda, dagaa, samaki, maharagwe yaliyochemshwa tu, nyanya na vikorombwezo vingine4, pia wanachoma mahindi na kuyauza.

2. Wengi wa wasichana huku ni waoga sana hasa kwa strangers.

3. Draft la huku wengi hucheza French( hawajui kuhusu British).

4. Kila wanapokaa hudhani wote ni wa huku hivyo huongea tu kilugha.

5. Hotels and Lodge za huku no bei rahis sana sana huanzia 30k.

6. Mwanza ni mji mzuri sana, una mandhari nzuri kuliko Arusha( kwa mtazamo wangu)

Asanteni wakuu
Shida Yako ni ushamba na hapo unataka Ligi ya Arusha vs Mwanza
 
Tunaishi nao njoo njiro nikuonyeshe hadi aibu
Inawezekana vipi wewe unaishi na kila mtu?

Andika vitu vyenye mashiko.

Nimekuuliza wewe umewahi kufanya ushoga na vijana wa A town?

Ukisema mnaishi nao hiyo maana yake na wewe ni mdau.

Je, nakosea kusema hivyo?
 
Arusha kwanza inamalizwa tu na nyakato yote ama nyegezi pekee bana. Ligi gani ama unataka kuleta ukenya swaga Mana ndio zenu. Arusha ukishafika mianzini tayari unakutana na waarusha Kama kijiji
Kwa kipi hasa? Mimi Huwa naona Mwanza Ina maisha ya kishamba na ya Vijijini jijini..

Kwa mfano uzuri wa Mwanza ni upi? Kama ni mandhari huwezi linganisha na Arusha,kama ni majengo mazuri hivyo hivyo,kama ni Mji kuwa busy Arusha Iko mbele ,kama ni wageni Arusha wako wengi na mwisho Arusha ni jirani na Nairobi Ina maisha ya kishua Sasa huo uzuri wa Mwanza ni upi?
 
Inawezekana vipi wewe unaishi na kila mtu?

Andika vitu vyenye mashiko.

Nimekuuliza wewe umewahi kufanya ushoga na vijana wa A town?

Ukisema mnaishi nao hiyo maana yake na wewe ni mdau.

Je, nakosea kusema hivyo?
Kwenye familia wapo jamaa walihamia huku kitambo hapa nilipo nimekuta vijana wawili wako vibaya kwa matumizi hayo ya madawa ya kulevya na mmoja katoroka sober house hivi juzi tu, achana na majirani, jamii hii ni ubabe, ushoga, bangi, ulevi ndo mkoa ambao wanawake wana hulka za kiume, ,

Najua inawauma ila ndo hivyo mnywe ama mteme, mna ujinga mwingi sana
 
Hivi lile soko likilokuaga la nguo especially ile mitumba ilokua inamwagwa pale makoroboi lilihamishiwaga wapii??? 🤔
Siku ya kufungua yale ma baloo nilikuaga natingajee kusagula viwalo vya mtumba juzikati nilipita na visenti bubu nikaambiwa lilihamishwa !!
La makoroboi. Ungeniambia nikupeleke walipopelekwa
 
Kwa kipi hasa? Mimi Huwa naona Mwanza Ina maisha ya kishamba na ya Vijijini jijini..

Kwa mfano uzuri wa Mwanza ni upi? Kama ni mandhari huwezi linganisha na Arusha,kama ni majengo mazuri hivyo hivyo,kama ni Mji kuwa busy Arusha Iko mbele ,kama ni wageni Arusha wako wengi na mwisho Arusha ni jirani na Nairobi Ina maisha ya kishua Sasa huo uzuri wa Mwanza ni upi?
Envy emotions
 
Basi hiyo ni experience mbaya. Binafsi ninaamini kila mtu anastahili heshima lakini pia kila mtu ana uhuru wakuvaa vile anavyopenda kwa kuzingatia jamii inayomzunguka.

Hao vijana wenzake walifanya vyema kumkamata kama unavyosema.

Je, kwa walichokifanya hao vijana wengine huoni hiyo ni jambo jema hata wakakusaidia?

Je, huoni hiyo inathibitisha wakazi wa A town ni wema mbali na wabaya wachache? Ambao kila mji kuna watu wa namna hii japo ubaya wao unaweza kuwa kwa namna nyingine?
Mkuu hakuna mji ambao una watu wabaya tu, wapo ambao ni wazuri. Hata Gamboshi kunakosifika kwa uchawi wapo ambao hawapractice huo uchawi, lakini hii haiondoi kwamba Gamboshi kuna tabia fulani ambazo zinafahamika.

Labda nikutolee mfano mwingine; mimi nimesoma hapo High School, na pale shule machalii wa chuga walikuwa wanamakundi yao na wanajiona wao ndo wao (again, sio wote) sijui walikuwa wanajiona wanajua kuvuta bange vizuri au vipi. Hawa jamaa walikuwa wanatuchukia sana tuliotoka mikoani tena hasa hasa Dar, yani mtu umevaa zako smart umepiga pasi basi utaitwa bishoo mara mtoto wa mama na majina mengine mengi sababu tu wao labda wapo rough na milegezo yao. Kuna scenario moja ilitokea nikashangaa sana, kuna mchizi wetu wa Dar alikuwa akinata na mtoto mmoja mkali wa chuga, na huyo demu kuna jamaa wa chuga alikuwa akimpenda sana lakini demu akawa hamuelewi. Siku moja tupo dinner tunashangaa mchizi kabananishwa na machizi kama watano wa Arusha wanataka kumfanyia fujo. Sababu tu eti anatembea na demu wa Arusha yeye mtoto wa mama wa Dar aachane nae. Kilichosaidia na sisi wa Dar tulikuwa na jamaa mmoja ulikuwa unamtoka mkono kinoma, yule ndio alikuja kuokoa lile jahazi. Bila hivyo lazima jamaa wangemzuru!!

Sasa hiyo ni scenario moja tu, lakini tabia kama hizi ni kawaida sana hapo Arusha, ndio maana hata mimi nilivyorushiwa mawe wala sikupanic nikajiona kama ni mkosefu. Nalikuwa nikifahamu hizi tabia zao!!

Sabaya na Gambo ni typical mfano wa vijana wa Arusha na tabia zao. Ukiacha hawa ambao wana tabia za ovyo ovyo wapo washkaji wa Arusha ni watu poa sana. I can’t forget some memories at Club AQ enzi hizo, Masai Club, La Fiesta na Pool table na washkaji pale Sun-dip, swimming Arusha Hotel!! I had a very good time there na siwezi regret
 
Back
Top Bottom