Bujoro
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,143
- 2,275
Si ungetumia tu id yako tukajua dada gani hapa jf ana ukimwi ili tusikufate pm
Okey sio mbaya tumia tu dawa usiache dada yangu
Pole kwa gojwa la UKIMWI...




Si ungetumia tu id yako tukajua dada gani hapa jf ana ukimwi ili tusikufate pm
Okey sio mbaya tumia tu dawa usiache dada yangu
Pole kwa gojwa la UKIMWI...






Nami nimekukatia tiketi uje Mwanza nina mazungumzo. Ukipandishwa kwenye mwewe unatoa mzigo bila hata kutongozwa. Vijana mnategemea kuoa kazi mnayo.
Ndiyoo na anawala wadada na wake za watu kama hana akili kamiliMuheshimiwa bado yupo bungeni????mpaka sasa




Kwani si ndivo mlivo wote mnatubania sisi mapuku tu wenye nazo wanawakula kiulaini.Kama yupo kwenye ARV muda mrefu wala hatakuambukiza,ila ni muhimu kutumia condom.Halafu mtu unakutana nae siku moja hata hamjui status zenu unafanya nae matusi bila kinga,hiyo hapana kwa kweli.
KWA SASA SIOLEKI WALA SITONGOZEKI, WALA SILIKI AISEE
We mala..ya umemuharibia kazi dereva wa watu...Kwanini hukutumia akili kuwakilisha hiliswala mpaka ukamtaja dereva?mana mzee lazima ajijue kulinganana na stori yenu na lazima akiwakishe kwa dereva.
Hpn yupo sahihi utakiwi kukasirika ndugu yngu pole kwa mitihani...sijataka unitukane wala sihitaji maoni yako, wala ukinitukana hainisaidii wala kupunguza chochote. kikumbwa nimejitambua na Mungu ameninusulu dats all.
Unajua daudi siku hizi umekua mkorofi sanaukimwi upo wa kumtosha kila mtu ila kupitia picha alizokutumia huwezi kusema umejiridhisha kuwa ana ukimwi.
Aseeeh, Dada pamoja na yote uliyotaja hapa...Kwanza nilikuonea huruma Sana lakin Mwishoni ulivyosema hata mwanetu ulimpga chini na jibu ulilotoa hili kwa Comrade kipepe tena kwa herufi kubwa. Tukikujibu vibaya humu ni HALALI tunakuwa sahihi kabisa!!! Kuwa na huruma tafadhari angalau hata ungetuficha suala la mwanetu...He deserve, hata ungekuwa wewe ungemvulia tu.
Sina hamu ni mwezi wa pili sasa na nimeamua kujitunza maisha yangu yote
Jibu watakalokupa ni "huyo dada ni tabia yake tu", lakini hoja sahih hapa ni "je ni kwa kiasi gani wake/wachumba zetu wako salama huko makazini"???polepole dada, so ulikuwa na mchumba wako na bado ukagawa mwili wako kwa mheshimiwa? hiyo tabia ninakokaa tunaita umalaya sijui kwenu wanaitaje..... Pili huyo mchumba wako ndiyo amefaidika na huo uamuzi wako, maana alikuwa anamahusiano na mtu asie jielewa kabisa wakuitwa chawote.....mwisho unakazi ila unatamaa sana ya maisha ambayo sio kiwango chako, ndo maana ulitembea na mheshimiwa hiyo tabia mtaani kwetu pia tunaita umalaya sijui kwenu wanaitaje..... Kama wanawake wote wapo hivi basi kuoa ni jambo la kipumbavu sana......