Nilivyonusurika kuambukizwa UKIMWI

Nilivyonusurika kuambukizwa UKIMWI

Sijasema about money maana hata mimi nimezaliwa katika familia ya waziri, sikuwahi kuijua shida ni kitu gani ila kilichonisumbua ni ujana ( Otherwise haya yalishapita) au unataka nikuwekee na cv yangu hapa? siyo kila mtu anadate na mtu just for money?
Justify kilichokufanya upigwe mbo..ro na huyo mheshimiwa.
 
Bado hujajirekebisha kwa chochote, na wala usiseme kuwa unatukanwa hapana tabia yako ni mbaya kuliko maelezo, kwa hiyo tabia yako ya ajabu tegemea balaa kubwa zaidi ya hilo linakuja. Unaposema kuwa umekoma hiyo michezo na umeamua kujitunza ni uoga tu wa muda kutokana na kuponea chupu chupu lakini ukweli ni kwamba lazima utarudia michezo michafu na ya hatari kama hiyo
 
Pole sana ila nlichokiona hapa wewe ulikua na tamaa pia mzinzi yaani you had a boyfriend kisha ukazini na huyo waziri,,usirudie tena na mshukuru mungu amekuponya ili ubadirike
Lol. YANI WANAWAKE TUNACHEKESHA, UTAKUTA WEWE UNAYO MACHAFU TENA IKUTE NA NDOA UNAYO LAKINI HUWEZI UKAYASEMA ILA HAPA UNAKOMAA NA MIE
WEWE HUJAWAHI KUZINI?
 
Ni kweli dada alikosea lakini amepata funzo tayari kupitia kilichomtokea ndiyo maana amesema atajitunza mpa apate mume!
Mimi au wewe?
Unajifunza lakini,unajikuta umeshasababisha vidonda kwa yule mchumba wako kikubwa ukisahkuwa na hofu ya Mungu na ukaepuka mazingira shawishi basi utaepuja mengi kikubwa ulikosea kuruhusu mwili wajo utumike kizembe kizembe
 
mi nlivoelewa ni kua unatangaza kua unataka mume na huna ukimwi...

Tafadhali LIPIA HILI TANGAZO.
 
Back
Top Bottom