Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
Ndiyo hapo mtu kweli Waziri unaenda nae bila Kinga?
Halafu unalala vipi na waziri bila condom?Mwakyembe mwenyewe mjane.
Halafu unalala vipi na waziri bila condom?Mwakyembe mwenyewe mjane.
Sijasema about money maana hata mimi nimezaliwa katika familia ya waziri, sikuwahi kuijua shida ni kitu gani ila kilichonisumbua ni ujana ( Otherwise haya yalishapita) au unataka nikuwekee na cv yangu hapa? siyo kila mtu anadate na mtu just for money?
SURE, KAMA SIYO KUPIMA YAWEZEKANA NINGESHAKUFA KWA MAGONJWA YA MOYO NA KUPOTEA KABISA
Naweza kuja inbox kukupa ushauri?Sijasema about money maana hata mimi nimezaliwa katika familia ya waziri, sikuwahi kuijua shida ni kitu gani ila kilichonisumbua ni ujana ( Otherwise haya yalishapita) au unataka nikuwekee na cv yangu hapa? siyo kila mtu anadate na mtu just for money?
Yan ndugu yangu tuna kazi sana,yani huyu Dada amenifanya nishtuke sana kweli,yani wadada kama mpo hivi sidhani kama nitaoa leo au kesho maana adai alikiwa na mchumba afu anamsaliti kizembe kabisa duuuuhNami nimekukatia tiketi uje Mwanza nina mazungumzo. Ukipandishwa kwenye mwewe unatoa mzigo bila hata kutongozwa. Vijana mnategemea kuoa kazi mnayo.
Pole kama nakuona ulivyokua unasoma dalili za mwanzo za Ukimwi halafu unahisi kama na wewe unazo.
Mshukuru Mungu na siku nyingine kuwa makini
[/QUO
ACHA KABISA HAKUNA DALILI ZA MWANZO AMBAZO SIKUWA NAZO DAAH
HII KITU ISIKIAGE TU
NISHAUURI TU HAPA NA WENGINE WANAWEZA KUPATA KITUNaweza kuja inbox kukupa ushauri?
Yaani mimi mtu anikojolee bila kinga big no,hata awe Rais.Unless tumepima.Ndiyo hapo mtu kweli Waziri unaenda nae bila Kinga?
Kama yupo kwenye ARV muda mrefu wala hatakuambukiza,ila ni muhimu kutumia condom.Halafu mtu unakutana nae siku moja hata hamjui status zenu unafanya nae matusi bila kinga,hiyo hapana kwa kweli.Yaani mtu mgonjwa na unajua ila unakutana nae kimwili uwiii jamani tusimjaribu Mungu.
KWA SASA SIOLEKI WALA SITONGOZEKI, WALA SILIKI AISEENaomba nikuoe....
MWEWE HAJAANZA KUNIPANDISHA YEYE, KUMBUKA TULIKUTANA KWENYE MWEWE PIANami nimekukatia tiketi uje Mwanza nina mazungumzo. Ukipandishwa kwenye mwewe unatoa mzigo bila hata kutongozwa. Vijana mnategemea kuoa kazi mnayo.
Hakuna muujiza hapo.Asante sana, Kwa sasa sihitaji mwanaume bado nafurahia miujiza alonifanyia Mwenyezi mungu
NIKO KWA PROCESS ZA KWENDA DODOMAMbona wizara zote zipo Dodoma wewe unafanya nini Dar?
Mkuu hata walio oa hawako salama.Ambao hamjaoa, mna taabu sana... Sijui mtaoaje kama waolewaji ndio hawa hawa...