Nilivyonusurika kuambukizwa UKIMWI

Nilivyonusurika kuambukizwa UKIMWI

Naomba nikuoe....
Sijasema about money maana hata mimi nimezaliwa katika familia ya waziri, sikuwahi kuijua shida ni kitu gani ila kilichonisumbua ni ujana ( Otherwise haya yalishapita) au unataka nikuwekee na cv yangu hapa? siyo kila mtu anadate na mtu just for money?
 
Pole kama nakuona ulivyokua unasoma dalili za mwanzo za Ukimwi halafu unahisi kama na wewe unazo.

Mshukuru Mungu na siku nyingine kuwa makini
SURE, KAMA SIYO KUPIMA YAWEZEKANA NINGESHAKUFA KWA MAGONJWA YA MOYO NA KUPOTEA KABISA
 
Sijasema about money maana hata mimi nimezaliwa katika familia ya waziri, sikuwahi kuijua shida ni kitu gani ila kilichonisumbua ni ujana ( Otherwise haya yalishapita) au unataka nikuwekee na cv yangu hapa? siyo kila mtu anadate na mtu just for money?
Naweza kuja inbox kukupa ushauri?
 
Nami nimekukatia tiketi uje Mwanza nina mazungumzo. Ukipandishwa kwenye mwewe unatoa mzigo bila hata kutongozwa. Vijana mnategemea kuoa kazi mnayo.
Yan ndugu yangu tuna kazi sana,yani huyu Dada amenifanya nishtuke sana kweli,yani wadada kama mpo hivi sidhani kama nitaoa leo au kesho maana adai alikiwa na mchumba afu anamsaliti kizembe kabisa duuuuh
Dunia inazunguka kwa kasi sana
 
ac
Pole kama nakuona ulivyokua unasoma dalili za mwanzo za Ukimwi halafu unahisi kama na wewe unazo.

Mshukuru Mungu na siku nyingine kuwa makini
[/QUO
ACHA KABISA HAKUNA DALILI ZA MWANZO AMBAZO SIKUWA NAZO DAAH
HII KITU ISIKIAGE TU
 
Yaani mtu mgonjwa na unajua ila unakutana nae kimwili uwiii jamani tusimjaribu Mungu.
Kama yupo kwenye ARV muda mrefu wala hatakuambukiza,ila ni muhimu kutumia condom.Halafu mtu unakutana nae siku moja hata hamjui status zenu unafanya nae matusi bila kinga,hiyo hapana kwa kweli.
 
Nami nimekukatia tiketi uje Mwanza nina mazungumzo. Ukipandishwa kwenye mwewe unatoa mzigo bila hata kutongozwa. Vijana mnategemea kuoa kazi mnayo.
MWEWE HAJAANZA KUNIPANDISHA YEYE, KUMBUKA TULIKUTANA KWENYE MWEWE PIA
 
LADIES READ ME.


If he's dating U without asking for SEX, pls marry him...He's the ONE. We are just 10 in this country, myself and 9 others
 
Asante sana, Kwa sasa sihitaji mwanaume bado nafurahia miujiza alonifanyia Mwenyezi mungu
Hakuna muujiza hapo.
Ulisalimika sababu 'waziri mtu mzima' alikuwa ametoka ku-control viral load.

In any other day ungeisha tu. Mshukuru Dereva na zaidi mshukuru Mungu kamtuma huyo dereva akutonye.

Siku kinga ya 'waziri mtu mzima' ingeshuka sababu ya kutokunywa dawa siku kadhaa sababu ya ziara au vurugu za kazi ungekamata kirusi chako chap chap.
 
Tafuta hospitali tatu tofauti,huenda hicho kipimo kina matatizo!!!! usishangilie ushindi wakati hata half time bado
 
Wenye pesa na vyeo wanakula mbunye kiulani sana
 
We mala..ya umemuharibia kazi dereva wa watu...Kwanini hukutumia akili kuwakilisha hiliswala mpaka ukamtaja dereva?mana mzee lazima ajijue kulinganana na stori yenu na lazima akiwakishe kwa dereva.
 
Back
Top Bottom