Nilivyonusurika kuambukizwa UKIMWI

Nilivyonusurika kuambukizwa UKIMWI

umalaya umalaya umalaya tamaa ,tamaa, tamaa
hukuridhika na alichokua nacho mpenzio bado ukagawa uchi kwa waziri kwa tamaa ya fedha
safi sana
 
Hofu huua zaidi ya ukimwi wenyewe, hofu uliyokuwa nayo ndiyo ilipelekea kuanza kupata homa na zisingekuacha mpk umauti. Kupima muhimu
SURE, KAMA SIYO KUPIMA YAWEZEKANA NINGESHAKUFA KWA MAGONJWA YA MOYO NA KUPOTEA KABISA
 
umalaya umalaya umalaya tamaa ,tamaa, tamaa
hukuridhika na alichokua nacho mpenzio bado ukagawa uchi kwa waziri kwa tamaa ya fedha
safi sana
Asante sana ila ukinihukumu hainisaidii kitu. na wewe siyo Mungu
 
Many times , mtu anayetumia ARV kwa usahihi level ya viral road ni undetectable na ni very unlikely kumwambukiza mwingine . tatizo kubwa lipo kwa mtu mwenye virusi , hayuko kwenye dozi na anafanya ngono bila condom huyu lazima aue wengi
Huu ugonjwa ni mbaya sana sana nilikuwa nashinda nasoma madhara yake online
lol. tujilinde na kujitunza
 
Hiyo ajira uliipataje kama.hauna taaluma juu ya unyanyapaa? Kwan hao wenye Ukimwi sio watu and how safe ar you na huyo ulienae kwa sasa au utakaekuwa nae
Lol. People are not serious, nani alikwambia me natoa elimu juu ya unyanyapaaji?
soma nini nimeandika guy.
 
Si ungetumia tu id yako tukajua dada gani hapa jf ana ukimwi ili tusikufate pm
Okey sio mbaya tumia tu dawa usiache dada yangu
Pole kwa gojwa la UKIMWI...
 
SURE, KAMA SIYO KUPIMA YAWEZEKANA NINGESHAKUFA KWA MAGONJWA YA MOYO NA KUPOTEA KABISA
Nakupongeza kwa kufanya maamuzi ya kutulia na Mungu akusaidie sana ktk kusimamia maamuzi yako.

Lakini pia muombe Mungu akupe moyo wa ujasiri maana ktk dunia hii yako matatizo mengine au changamoto ambazo ni ngumu, nzito na zinazoumiza may be hata zaidi ya HIV, si maombia yangu itokee kwako lkn vipi in future utakapokuwa na familia inayokutegemea halafu ukakutana na changamoto hizo, Will you give up just like that?

But all in all hongera sana kwa kuamua kubadilika.
 
Nakupongeza kwa kufanya maamuzi ya kutulia na Mungu akusaidie sana ktk kusimamia maamuzi yako.

Lakini pia muombe Mungu akupe moyo wa ujasiri maana ktk dunia hii yako matatizo mengine au changamoto ambazo ni ngumu, nzito na zinazoumiza may be hata zaidi ya HIV, si maombia yangu itokee kwako lkn vipi in future utakapokuwa na familia inayokutegemea halafu ukakutana na changamoto hizo, Will you give up just like that?

But all in all hongera sana kwa kuamua kubadilika.
Asante sana Ndugu, hii isue imenikomaza sana kiakili yani kwa sasa hivi nimekuwa mwanamke, naamini mungu atanisaidia pia maana najifunza kwake na huko mbeleni atanivusha kwa hayo makubwa zaidi ya hili
 
Madereva wana siri nzito halafu waheshimiwa wanajifanya hawamuoni yule dereva wa kule mara
 
Huna lolote wewe, umalaya tuu unakusumbua, kwahyo akija mwingne tena mwenye mapesa unatanua mapaja
Sijasema about money maana hata mimi nimezaliwa katika familia ya waziri, sikuwahi kuijua shida ni kitu gani ila kilichonisumbua ni ujana ( Otherwise haya yalishapita) au unataka nikuwekee na cv yangu hapa? siyo kila mtu anadate na mtu just for money?
 
Back
Top Bottom