Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,863
- 95,829
Kuna mtu anaitwa Kitoabu sikumbuki majina ya nyuzi ila ziko 2 na zote ni za moto sanaa kuhusiana na issue zake za uchimbaji wa madiniMkuu nipe list ya stori zilizowahi kukimbiza humu JF hata za zaman before ile ya KHUMBU maana zamani nilikuwa sifatili sasa huu wa PAUL naona speed yake ya kuandika imeanza kuwa na mashaka.
Pia uniambie nyuzi,hizo zinapatikana jukwa lini.
Asante