Nilishajua kuna biashara zinatangazwa kijanja sana, sio tatizo ila naboreka na ujuaji wa kupitilizaKweli mkuu. Kuna MASHETANI yamevamia huu uzi. Tuombe tu Mungu uzi uishe salama, uzi unafundisha, elimisha na kuburudisha.
Aaaaahh kumbe mtoto wetu amekuwa mpaka anatusimulia hadithi no mda sasa wakusaka mwingine
Hahahahhaaa jamani u made my morning..hahaha eti muimba kwaya🤣🤣🤣Wadau huyu Tshepiso bado nahangaika kumtafuta, nikimpata nitamleta hapaView attachment 1759101
Akikutumia nitagUnamuuliza mwanaume kama anapenda kuona msambwanda?
Nitumie na wako niuone au bibie unaona wivu?
Wadau huyu Tshepiso bado nahangaika kumtafuta, nikimpata nitamleta hapaView attachment 1759101
Wadau huyu Tshepiso bado nahangaika kumtafuta, nikimpata nitamleta hapaView attachment 1759101
SawaAkikutumia nitag
Kwahiyo umeona uje utuanike huku.Wanaume wa humu ukijipindua tu....wamejazana Pm.
Sijui wana kasumba gani aisee.
Anataka uhakika hapo ujue.
Sawa tunamsubri mkuuWadau huyu Tshepiso bado nahangaika kumtafuta, nikimpata nitamleta hapaView attachment 1759101
😔 😔 😔Kwahiyo umeona uje utuanike huku.
Uzi mwanzan ulikua mtamu sana wajuaji wakaingia wengine hata south hawapajui kama mm hapa wakaanza kukosoa wengine wakaingia na matangazo yao ya udangaj kuna member ukiwaona kweny Uzi ujue mambo yameharbikaNakubaliana na mdau SN.BARRY uzi ulikuwa mzuri sema kuna wajinga wamevamia watukana kila mtu, ujuaji mwingiiii, Kuna mmoja kila kitu anajua, kila kitu anacho Halafu kuna wanaojiuza kijanja
Tuzidishe maombi mkuuKweli mkuu. Kuna MASHETANI yamevamia huu uzi. Tuombe tu Mungu uzi uishe salama, uzi unafundisha, elimisha na kuburudisha.
Halafu mkuu nimekuomba unitumie Pm umekausha au nipo kwenye list ya masnitch yako mkuu?
Wadau huyu Tshepiso bado nahangaika kumtafuta, nikimpata nitamleta hapaView attachment 1759101