Nina 11yrs ktk ndoa ,pia ni mwl wa vijana nasonga mbele - amen, nakumbushia tu mapenzi kabla ya ndoa ni hatari na kuna maumivu mbelee, kuna suala la 'kutendwa'(ulaghai katk mapenzi) kila mtu anayajua maumivu yake,na kama mwanandoa hatamwachilia (samehe & sahau) huyo aliyemtenda basi huyo mtu atarudi haraka na kuisambaratisha ndoa hiyo..,hii ni formula ya hatia..ndipo tunaona watu wakiingia ktk ndoa na miguu 2 (kujihami kwingiii)..ktk ugomvi mdogo tu, ndipo sasa haya huanza; 1,kulinganisha-utasikia 'nyie kwani ni watu, ktk hili ndiyo maana tuliachana na flan nk' vile vile utakuta maneno mengi sana yenye kuudhi na kukata tamaa eg, huu ni msalaba wangu, najuuta kuwa nawe nk....naomba mchango/uzoefu wako ili nijifunze kutoka kwako!