NDOA: Gereza la utumwa na kaburi la maumivu linalowamaliza wanawake wengi

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,633
697,782
Kauli za navumilia kwa sababu ya wanangu na nyingine kama hizi zimeua nafsi na mili ya wanawake wengi.. Infact wanawake ni wahanga wa ndoa kuliko wanaume

Kulinda heshima: Ni utamaduni wa kurithi na mazoea ya kijamii kwamba mwanamke akiwa kwenye ndoa anaheshimika zaidi kuliko ambaye hana ndoa

Kutojiamini.: Wengi hudhani hawawezi kusimama wenyewe bila mwenza rasmi.. Kile kitendo cha kuwa na mwanaume ndani ya nyumba hata kama ni jinga fulani lisilojitambua kwake inatosha kabisa

Kuonesha uwezo wa kumiliki: Wengi huingia kwenye mtego wa kuolewa na watu wa ajabu kisa tu ana sifa fulani ambazo anaweza kutambia wengine kuwa naye anamiliki mwanaume mwenye sifa Fulani

Wengi hawafunguki lakini mioyoni wamejawa na maumivu makali mno.. Wameolewa, wamezalishwa.. Lakini mwanaume hana mbele hana nyuma yupo yupo
Hahudumii familia chakula, nguo na mahitaji mengine muhimu
Halipi ada za shule wala chochote
Pesa yake ni yake
Akiishiwa atamuomba mkewe na ole wake mke amnyime
Wengi ni watu wa kuchelewa kurudi nyumbani kwa visingizio mbalimbali.. Na wakirudi wanataka wakute chakula kizuri nk
Wengine wanajifanya hawana kazi na kazi ni ngumu kupatikana lakini kumbe ni wachagua kazi sana..
Mama anatoka asubuhi kwenda kazini baba ndio kwanza anavuta shuka.. Kisha akiamka anataka akute chai nzuri na hata kiporo cha wali ndondo ama chapati za kusukuma na nauli ya kuendea kwenye mishe

Hawezi hata kutandika kitanda wala walau kufua boxer zake.. Na kama ndani ya nyumba kuna beki tatu ama ndugu wa kike hao ni asusa yake. Ukatili mkubwa sana huu
Huko kwenye mishe akipata anatumia na michepuko na marafiki wasio na faida na sometimes akiishiwa atampigia mkewe amtumie

Wanawake wengi wanaishi kwenye hili gereza .. Wamegeuzwa chuma ulete na watumwa wa kuwatumikia wanaume wasiojitambua na wanaishi na haya maumivu kisa kulinda ndoa

Ndani ya nyumba hakuna kujadiliana kitu ni mwendo wa amri, hakuna upendo hakuna ucheshi, akimhitaji chakula cha ndoa atampanda kama mbwa na akimaliza atamuacha hapo bila kujali hisia za mwenzake!
Simu ya baba ni ya baba ole wake mama aiguse ataporomoshewa zigo la kashfa na matusi.. Lakini simu ya mama ni halali baba kuishika na kuipekua hata kupokea na kusoma msg zisizomhusu

Siku baba katoa 50 kampa mama... Hiyo ndio itakuwa wimbo wa masimango kila mama atapoongelea upungufu wa mahitaji nyumbani.... Lakini bado wanagumumia haya machungu wakitumaini waume zao watabadilika na kutambua hisia zao na majukumu yao..!

Wanawake wengi wameamua kuchepuka kutafuta unafuu wa kihisia
Wengine kwa ajili ya kipato
Wengine wameamua kuingia kwenye ulevi kutafuta nafuu ya usongo wa mawazo
Wengine hawana hisia za mapenzi tena na hawajirhamini tena
Wengine wameingia kwenye kundi la kujichukia na kujenga chuki mbaya kwa wenza wao..!

Ndoa jambo jema lililotarajiwa kuleta heshima, upendo, masikilizano, furaha maendeleo nk imegeuka kuwa jehanum ya mateso makubwa na gereza la utumwa mbaya kabisa..!

NDOA ! NDOANO.. RIP MAUNDA..! (Haihusiani na hii mada)
 
Mkuu Asante kwa mada.ila inshu ya ndoa ,ni very complicated.kuna wanawake manyang'au ambao wamewaharibu wanaume na kuwafanya wajutie .lkn pia Kuna wanaume manyang'au ambao pia wamewaharibu wanawake na kufanya kujutie.

Ila 90% ke ,sio watu wa kuwaamini ,hata Mungu /Allah aliwashindwa!!


Kwangu mm ,pesa ndo amani yangu,pesa ndo kila kitu kwangu!!
 
Hii nikweli kabisa wanawake wengi wamekuwa wakipitia magumu kisa ndoa wengine wanaona bora kuvumilia kisa watoto eti akiondoka atawaachaje

ni kweli watoto wanauma ila pia inabidi tujifikirie pia nafsi zetu kwa sababu leo hii ukivumulia vipigo masimango likija kutokea la kutokea ukifa hao watoto itakuwaje? Inauzunisha sanaa
 
Kali za navumilia kwa sababu ya wanangu na nyingine kama hizi zimeua nafsi na mili ya wanawake wengi.. Infact wanawake ni wahanga wa ndoa kuliko wanaume

Kulinda heshima: Ni utamaduni wa kurithi na mazoea ya kijamii kwamba mwanamke akiwa kwenye ndoa anaheshimika zaidi kuliko ambaye hana ndoa

Kutojiamini.: Wengi hudhani hawawezi kusimama wenyewe bila mwenza rasmi.. Kile kitendo cha kuwa na mwanaume ndani ya nyumba hata kama ni jinga fulani lisilojitambua kwake inatosha kabisa

Kuonesha uwezo wa kumiliki: Wengi huingia kwenye mtego wa kuolewa na watu wa ajabu kisa tu ana sifa fulani ambazo anaweza kutambia wengine kuwa naye anamiliki mwanaume mwenye sifa Fulani

Wengi hawafunguki lakini mioyoni wamejawa na maumivu makali mno.. Wameolewa, wamezalishwa.. Lakini mwanaume hana mbele hana nyuma yupo yupo
Hahudumii familia chakula, nguo na mahitaji mengine muhimu
Halipi ada za shule wala chochote
Pesa yake ni yake
Akiishiwa atamuomba mkewe na ole wake mke amnyime
Wengi ni watu wa kuchelewa kurudi nyumbani kwa visingizio mbalimbali.. Na wakirudi wanataka wakute chakula kizuri nk
Wengine wanajifanya hawana kazi na kazi ni ngumu kupatikana lakini kumbe ni wachagua kazi sana..
Mama anatoka asubuhi kwenda kazini baba ndio kwanza anavuta shuka.. Kisha akiamka anataka akute chai nzuri na hata kiporo cha wali ndondo ama chapati za kusukuma na nauli ya kuendea kwenye mishe

Hawezi hata kutandika kitanda wala walau kufua boxer zake.. Na kama ndani ya nyumba kuna beki tatu ama ndugu wa kike hao ni asusa yake. Ukatili mkubwa sana huu
Huko kwenye mishe akipata anatumia na michepuko na marafiki wasio na faida na sometimes akiishiwa atampigia mkewe amtumie

Wanawake wengi wanaishi kwenye hili gereza .. Wamegeuzwa chuma ulete na watumwa wa kuwatumikia wanaume wasiojitambua na wanaishi na haya maumivu kisa kulinda ndoa

Ndani ya nyumba hakuna kujadiliana kitu ni mwendo wa amri, hakuna upendo hakuna ucheshi, akimhitaji chakula cha ndoa atampanda kama mbwa na akimaliza atamuacha hapo bila kujali hisia za mwenzake!
Simu ya baba ni ya baba ole wake mama aiguse ataporomoshewa zigo la kashfa na matusi.. Lakini simu ya mama ni halali baba kuishika na kuipekua hata kupokea na kusoma msg zisizomhusu

Siku baba katoa 50 kampa mama... Hiyo ndio itakuwa wimbo wa masimango kila mama atapoongelea upungufu wa mahitaji nyumbani.... Lakini bado wanagumumia haya machungu wakitumaini waume zao watabadilika na kutambua hisia zao na majukumu yao..!

Wanawake wengi wameamua kuchepuka kutafuta unafuu wa kihisia
Wengine kwa ajili ya kipato
Wengine wameamua kuingia kwenye ulevi kutafuta nafuu ya usongo wa mawazo
Wengine hawana hisia za mapenzi tena na hawajirhamini tena
Wengine wameingia kwenye kundi la kujichukia na kujenga chuki mbaya kwa wenza wao..!

Ndoa jambo jema lililotarajiwa kuleta heshima, upendo, masikilizano, furaha maendeleo nk imegeuka kuwa jehanum ya mateso makubwa na gereza la utumwa mbaya kabisa..!

NDOA ! NDOANO.. RIP MAUNDA..! (Haihusiani na hii mada)
Katika ndoa wana wake wana madhaifu mengi, kuishi nao ni kuwavumilia tu, kila moja na dezaini yake ya vitimbi, sema wanaume wengi hawafunguki yale yanao wasibu kwenye ndoa.
 
Kali za navumilia kwa sababu ya wanangu na nyingine kama hizi zimeua nafsi na mili ya wanawake wengi.. Infact wanawake ni wahanga wa ndoa kuliko wanaume

Kulinda heshima: Ni utamaduni wa kurithi na mazoea ya kijamii kwamba mwanamke akiwa kwenye ndoa anaheshimika zaidi kuliko ambaye hana ndoa

Kutojiamini.: Wengi hudhani hawawezi kusimama wenyewe bila mwenza rasmi.. Kile kitendo cha kuwa na mwanaume ndani ya nyumba hata kama ni jinga fulani lisilojitambua kwake inatosha kabisa

Kuonesha uwezo wa kumiliki: Wengi huingia kwenye mtego wa kuolewa na watu wa ajabu kisa tu ana sifa fulani ambazo anaweza kutambia wengine kuwa naye anamiliki mwanaume mwenye sifa Fulani

Wengi hawafunguki lakini mioyoni wamejawa na maumivu makali mno.. Wameolewa, wamezalishwa.. Lakini mwanaume hana mbele hana nyuma yupo yupo
Hahudumii familia chakula, nguo na mahitaji mengine muhimu
Halipi ada za shule wala chochote
Pesa yake ni yake
Akiishiwa atamuomba mkewe na ole wake mke amnyime
Wengi ni watu wa kuchelewa kurudi nyumbani kwa visingizio mbalimbali.. Na wakirudi wanataka wakute chakula kizuri nk
Wengine wanajifanya hawana kazi na kazi ni ngumu kupatikana lakini kumbe ni wachagua kazi sana..
Mama anatoka asubuhi kwenda kazini baba ndio kwanza anavuta shuka.. Kisha akiamka anataka akute chai nzuri na hata kiporo cha wali ndondo ama chapati za kusukuma na nauli ya kuendea kwenye mishe

Hawezi hata kutandika kitanda wala walau kufua boxer zake.. Na kama ndani ya nyumba kuna beki tatu ama ndugu wa kike hao ni asusa yake. Ukatili mkubwa sana huu
Huko kwenye mishe akipata anatumia na michepuko na marafiki wasio na faida na sometimes akiishiwa atampigia mkewe amtumie

Wanawake wengi wanaishi kwenye hili gereza .. Wamegeuzwa chuma ulete na watumwa wa kuwatumikia wanaume wasiojitambua na wanaishi na haya maumivu kisa kulinda ndoa

Ndani ya nyumba hakuna kujadiliana kitu ni mwendo wa amri, hakuna upendo hakuna ucheshi, akimhitaji chakula cha ndoa atampanda kama mbwa na akimaliza atamuacha hapo bila kujali hisia za mwenzake!
Simu ya baba ni ya baba ole wake mama aiguse ataporomoshewa zigo la kashfa na matusi.. Lakini simu ya mama ni halali baba kuishika na kuipekua hata kupokea na kusoma msg zisizomhusu

Siku baba katoa 50 kampa mama... Hiyo ndio itakuwa wimbo wa masimango kila mama atapoongelea upungufu wa mahitaji nyumbani.... Lakini bado wanagumumia haya machungu wakitumaini waume zao watabadilika na kutambua hisia zao na majukumu yao..!

Wanawake wengi wameamua kuchepuka kutafuta unafuu wa kihisia
Wengine kwa ajili ya kipato
Wengine wameamua kuingia kwenye ulevi kutafuta nafuu ya usongo wa mawazo
Wengine hawana hisia za mapenzi tena na hawajirhamini tena
Wengine wameingia kwenye kundi la kujichukia na kujenga chuki mbaya kwa wenza wao..!

Ndoa jambo jema lililotarajiwa kuleta heshima, upendo, masikilizano, furaha maendeleo nk imegeuka kuwa jehanum ya mateso makubwa na gereza la utumwa mbaya kabisa..!

NDOA ! NDOANO.. RIP MAUNDA..! (Haihusiani na hii mada)
Ndoa ni kama kujitoa muanga lazima uwe na maturity na uvumilivu wa kumeza mambo.
 
Jana nilikuwa natoka Duka fulan hiv mjini mimi nipo mbele Mama mmoja na binti mdogo kwa mtizamo yupo na miaka kama 12, 13 hivi wapo nyuma yangu
Mama ana mwambia mtoto Baba yako hajui cha Ramadhani hajui cha hali ngumu yani Baba yako analewa siku nzimaa hata hajui mnakula nini hapa naumiza kichwa mnapata pataje Iftari mtoto anamwambia mama tutakunywa hata uji tuu si sawa

Mama anamwambia huo uji si mpaka sasa muupate sina hata mia mtoto anamwambia sasa itakuwaje na mim nimefunga?

Aisee nilijisikia huruma sanaa

Sasa mume kama huyo unaendelea kukaa nae wa nin kama kila kitu mama anafanya baba yeye kazi kulewa tuu yan hana hata maana
 
Jana nilikuwa natoka Duka fulan hiv mjini mimi nipo mbele Mama mmoja na binti mdogo kwa mtizamo yupo na miaka kama 12, 13 hivi wapo nyuma yangu
Mama ana mwambia mtoto Baba yako hajui cha Ramadhani hajui cha hali ngumu yani Baba yako analewa siku nzimaa hata hajui mnakula nini hapa naumiza kichwa mnapata pataje Iftari mtoto anamwambia mama tutakunywa hata uji tuu si sawa

Mama anamwambia huo uji si mpaka sasa muupate sina hata mia mtoto anamwambia sasa itakuwaje na mim nimefunga?

Aisee nilijisikia huruma sanaa

Sasa mume kama huyo unaendelea kukaa nae wa nin kama kila kitu mama anafanya baba yeye kazi kulewa tuu yan hana hata maana
Mungu wangu.. Mungu awasaidie mtoto mdogo anaanza kujenga chuki na wanaume katika umri huo
 
Back
Top Bottom