King snr
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 1,165
- 1,461
Mtihani wa advance nilifanya masomo ya
Chemistry-B
Mathematics-C na
Education-D
Div 1.9
Natamani kwenda kusoma software engineering ila naona guidebook ya TCU inataka physics je hakuna njia nyingine yoyote labda kama wanatoa mtihani kabla ya kuniruhusu kujiunga au ni lazima nikafanye kwanza physics ndo nikasome hiyo kozi maana nahisi kazi yangu ipo huko kwenye software Nina mambo mengi nataka kuyafanya ya kiteknolojia naomba mwenye uelewa yeyote anisaidie tu mawazo jinsi gani naweza pata chuo kwenda kusoma hiyo kozi
Chemistry-B
Mathematics-C na
Education-D
Div 1.9
Natamani kwenda kusoma software engineering ila naona guidebook ya TCU inataka physics je hakuna njia nyingine yoyote labda kama wanatoa mtihani kabla ya kuniruhusu kujiunga au ni lazima nikafanye kwanza physics ndo nikasome hiyo kozi maana nahisi kazi yangu ipo huko kwenye software Nina mambo mengi nataka kuyafanya ya kiteknolojia naomba mwenye uelewa yeyote anisaidie tu mawazo jinsi gani naweza pata chuo kwenda kusoma hiyo kozi