Nilisoma half comb nawezaje kwenda kusomea software engineering

Nilisoma half comb nawezaje kwenda kusomea software engineering

Next time usiseme Ujinga kama huo tena utachekwa...!!
 
Next time usiseme Ujinga kama huo tena utachekwa...!!
Mkuu acha kuntukana mwenzako,Diploma ya ualimu uwa ni two years(i thnk so) sasa kwa upande mama ndalichako alikuja akasema kwamba....kwasababu hawa wametoka form four direct inatakiwa wafanye ACSEE na Masomo ya Diploma kwa pamoja

But ilikuwa kwa masomo mawili tuu! tofauti na Advance direct unafanya masomo matatu yote(eg. sikuizi o'level mtu anaweza akachagua akafanya chem &bios na masomo mengine yaliyobaki ila physics haifanyi
So this year wamefanya necta mwezi wa pili na pepa ya diplima wakafanya baadae
So wana wanagewa cheti kutoka NACTE NA NECTE....mkuu kuwa mwela kuna kijana nilimfundishaga ana result slip ya necta
So msaidien if is possible kwa yeye kupata chuo kupitia hizp pass mark za two sublect, may be anataka aachane na Education
 
Mkuu acha kuntukana mwenzako,Diploma ya ualimu uwa ni two years(i thnk so) sasa kwa upande mama ndalichako alikuja akasema kwamba....kwasababu hawa wametoka form four direct inatakiwa wafanye ACSEE na Masomo ya Diploma kwa pamoja

But ilikuwa kwa masomo mawili tuu! tofauti na Advance direct unafanya masomo matatu yote(eg. sikuizi o'level mtu anaweza akachagua akafanya chem &bios na masomo mengine yaliyobaki ila physics haifanyi
So this year wamefanya necta mwezi wa pili na pepa ya diplima wakafanya baadae
So wana wanagewa cheti kutoka NACTE NA NECTE....mkuu kuwa mwela kuna kijana nilimfundishaga ana result slip ya necta
So msaidien if is possible kwa yeye kupata chuo kupitia hizp pass mark za two sublect, may be anataka aachane na Education
Tatizo muhusika alikuwa hajibu akaeleweka... Kama ni diploma ya education sawa so ukitoka hapo unaweza kuwa mwalimu??? Wa masomo uliyosomea au??? Yani hii course lengo lake ni nini hasa??? Ualimu unaosomea unakuwa level ya secondary au???
 
Back
Top Bottom