Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,404
- 79,653
AiseeMungu anisamehe..nasema UKOME...WATU WALIKUPAMBANIA SANA HAPA JF ukawasaliti..SHENZYTYP wewe .
Elli Mshana njoo umuuguze mdogo wako
AiseeMungu anisamehe..nasema UKOME...WATU WALIKUPAMBANIA SANA HAPA JF ukawasaliti..SHENZYTYP wewe .
Elli Mshana njoo umuuguze mdogo wako
Amesaliti nini?Safiiii
Huwezi mfahamu humu ww searchbnyuz zake za nyuma kuna watu walimchangiaga....Amesaliti nini?
🤣🤣🤣alijikuta sokoine ghafla..mie ningemkalishia msumari kbsHahahaha we kajamaa huu ujinga peleka kwa Bashiru sio hapa
Yaani pamba tani 11 utaifishe kindezi ndezi like that? Hata mimi nisingekuacha boya wewe
Huyu dogo watu walimpambania Sana tokea akiwa pale UDSM kaenda kigoma akanunuliwa kiboya nakina Bashiru leo anajikuta joker eti kanataifisha pamba tani 11. Hiv kanajua ugumu wa kumiliki pamba tani hata mojaalijikuta sokoine ghafla..mie ningemkalishia msumari kbs
Muone hapo alivyonunuliwa. Yaani CCM ni matapeli.🤣🤣🤣alijikuta sokoine ghafla..mie ningemkalishia msumari kbs
DemiHuyu dogo watu walimpambania Sana tokea akiwa pale UDSM kaenda kigoma akanunuliwa kiboya nakina Bashiru leo anajikuta joker eti kanataifisha pamba tani 11. Hiv kanajua ugumu wa kumiliki pamba tani hata moja
Eti naskia aliuawa ikulu mle mle
DemiHuyu dogo watu walimpambania Sana tokea akiwa pale UDSM kaenda kigoma akanunuliwa kiboya nakina Bashiru leo anajikuta joker eti kanataifisha pamba tani 11. Hiv kanajua ugumu wa kumiliki pamba tani hata moja
Kakondefuuu..shenzi kbsMuone hapo alivyonunuliwa. Yaani CCM ni matapeli.
Mtu ambaye CHADEMA walimwamini wakampa tiketi ya kugombea ubunge, CCM ya kina Pole pole wakamtapeli akahama halafu wakamhonga utendaji wa kijiji😂😂😂😂 ili akapigwe. Wamemkomesha dadekiiii🤣🤣🤣
View attachment 1753631
Hata aibu hanaKakondefuuu..shenzi kbs
Demi mccm mwenzako alinunuliwa hapa....shenz nasemaMuone hapo alivyonunuliwa. Yaani CCM ni matapeli.
Mtu ambaye CHADEMA walimwamini wakampa tiketi ya kugombea ubunge, CCM ya kina Pole pole wakamtapeli akahama halafu wakamhonga utendaji wa kijiji😂😂😂😂 ili akapigwe. Wamemkomesha dadekiiii🤣🤣🤣
View attachment 1753631
Ooh kumbe, Basi na apigwe tu. Angekaa kimya
Eh,hiyo ikulu ilinajisiwa sana na mwendazake.Eti naskia aliuawa ikulu mle mle