Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 5,009
- 9,206
Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
Utakuwa stewardess wa private jet yangu.Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
🤣🤣🤣 upishi na masajiUkitaka kuwa air hostess unasomea madubwasha gani?
Mara nyingi kama unajiamini una sura nzuri ni rahisi kupataUkitaka kuwa air hostess unasomea madubwasha gani?
Nilijilinganisha na air hostesses niliowakuta yaani hamna kitu. WafupiiiiiUtakuwa wewe ndio mzuri hapo nyumbani kwenu tuu ila huku kwenye jamiii utakuwa unaonekana kama mwanaume tuuu
weka picha tukuone kama wewe ni mrefu, inawezekana umezungukwa na na watu wafupi ndio maana unajiona mrefu, hata mbilikimo kuna mrefu zaid ya wenzake.




Mambo siyo mvutu too bali upstairs kukoje?????Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
Kwani lazima kupewa, ukiona hivyo ujue haikua ridhki yakoNiliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
Upstairs? Kwani tunaenda kufanya upasuaji kwa wagonjwa pale.Mambo siyo mvutu too bali upstairs kukoje?????