Nilimwambia atakufa akafa kweli

Nilimwambia atakufa akafa kweli

tugawane faida boss you are the next bill GATES

Sent using Jamii Forums mobile app

Kugawana faida toa mtaji mdogo leo kabla bei ya kiingilio haijapanda.

Hawa fanboys wako wanaamini sana kwamba ukisema nitakufa, nitakufa.

Wakati wote tutakufa, na ukisema mtu atakufa hujatabiri kitu.

In fact ukisema jua litachomoza kesho asubuhi unakuwa umefanya utabiri mkubwa zaidi ya mtu ambaye anasema fulani atakufa.
 
Usifurahie sana inabidi ujichunge sana na mdpmo wako si ajabu Siku moja ukanena yakakurudia usijitape hadi kuandika mitandaoni.
 
Kugawana faida toa mtaji mdogo leo kabla bei ya kiingilio haijapanda.

Hawa fanboys wako wanaamini sana kwamba ukisema nitakufa, nitakufa.

Wakati wote tutakufa, na ukisema mtu atakufa hujatabiri kitu.

In fact ukisema jua litachomoza kesho asubuhi unakuwa umefanya utabiri mkubwa zaidi ya mtu ambaye anasema fulani atakufa.
Never mind about this story nipe deal kama inalipa nitawekeza... At the end tunahitaji SHEKELI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah ile bar ni balaa Wahadhiri ndio kabisa,Kuanzia Migombani, kwa Afande hadi kwa Chuwa, hadi Mbunge mmoja alishaondoka na Mtangazaji naye ameondoka walikua maalwatani sana
Tulipaita kaburini... Mungu ni mwema WE ARE LEFT TO TELL Tumesalimika tusimulie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Malizia sentensi zako ili neno litimie, upo tayari kufanyaje, kunywa chai au kupika?

"PAMBANA NA HALI YAKO"

Niko tayari mtu yeyote aseme nitakufa.

Unataka nini zaidi?

Huyo Mungu wako Mshana unayemuogopa kwamba anaweza kuua watu kwa maneno yake ananiomba deal.

Fucktard.
 
Back
Top Bottom