Nilimwambia atakufa akafa kweli

Nilimwambia atakufa akafa kweli

Kila mtu atakufa.

Kwa hiyo ukimwambia mtu atakufa hujatabiri lolote.

Unless unamtajia siku ya kufa.
 
Rahisisha story tu, mwambie akwambie utakufa ijulikane, kuliko kujificha huko kwenye hizo tamathali za semi.

"PAMBANA NA HALI YAKO"
Akiniambia nitakufa atakuwa hajatabiri chochote kwa sababu hata mimi najua nitakufa na kila mtu mwenye akili anajua atakufa.

Akiniambia nitakufa siku gani na saa ngapi, hapo anaweza kunisaidia kama utabiri wake utakuwa kweli.Maana naweza kujiandaa vizuri zaidi.

Anaweza kuniambia siku na saa nitakayofariki?
 
Kwa hasira nikamwambia kama kweli una mimba yangu mimi nitakufa ila kama hata kama unasema uongo na hatufahamiani kabisa basi utakufa! Alikaa mahabusu Ijumaa ile mpaka jumatatu nilipoenda kufuta kesi
Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu basi usiwaambie watu watakufa. Just teach them a lesson and then take it easy. Wanawake wengi wana matatizo tofauti, wengine wanataka mme, wengine mtu kuwasaidia, wengine wanatafuta boyfriend. Wewe kama unataka kumwacha girlfriend mwache taratibu.
 
Kuna maza mmoja akija dukani akakipenda kitu mkashindana bei nawewe ukashindwa kumuuzia basi utakaa nacho maisha! Hakitoki yani, na kila mara anakuja na bei pungufu na marafiki zake wanachagua mashuka mazuli na hela hawana hapo wakiondoka hayo mashuka nayo yatakaa hadi! Huwa natamka kwa jina la Yesu naomba mashuka yangu yauzike mkiondoka! Yeye huwa haelewi kuna siku ntamwambia am tired!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom