Nilimpenda lakini namuacha

Nilimpenda lakini namuacha

Ni kama jamaa yangu kanizidi umri kama miaka saba hivi hua anaandika hivyo hivyo, utasikia niambie jexhi.. ko tunafanyeje xaxa. Nikiona hivi hua napiga straight [emoji28][emoji28]
Ni kero ipo siku nitamwambia japo najua ni mtu wa kukasirika hovyo akiambiwa ukweli.
 
Back
Top Bottom