Nilimpenda lakini namuacha

Nilimpenda lakini namuacha

Masai wa Town

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
6,711
Reaction score
24,490
Sababu kuu ni kwamba amegoma kuacha utoto.

Screenshot_20230303-132202_1677839144489.jpg
 
Nimekuwa nikimuelekeza kwa upole ila anaonekana Ana kiburi
Mueleweshe taratibu, nilishakua na pisi ya hivyo nikamuelekeza na akabadilika.

Tafuta muda umwambie face to face kwenye sms hawezi kukuelewa kirahisi.

Wanaume wengi huku wakituma charts zao na wapenz wao yaan huwa hawajui kuandika 😂😂😂
Vizazi vya dotcom wanaona taabu kuandika s wanatumia X.
 
Back
Top Bottom