Nilimpenda lakini namuacha

Nilimpenda lakini namuacha

Wahivi mnawapataga wapi??
Hawa wanapatikana kitaa mkongwe, tena unakuta ni ka pisi fulani kakali shida inaanza kwenye uandishi na kakishajijua kuwa cha moto na wewe unatia unyonge ili ukale kimasikhara mbona utaona rangi zote.
 
Huo ukorofi [emoji1787][emoji1787]
Nna ndugu yangu mkubwa kunizidi, jitu zima kabisa mwanaume huwa anaandika meseji hivyo, sijibu huwa naamua kumpigia.
Ni kama jamaa yangu kanizidi umri kama miaka saba hivi hua anaandika hivyo hivyo, utasikia niambie jexhi.. ko tunafanyeje xaxa. Nikiona hivi hua napiga straight [emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom