Nilimpenda lakini namuacha

Nilimpenda lakini namuacha

Hahaha mwenyewe nimeokota sampuli ya hivyo nikishaichakata tu naikacha maana hata akiandika na struggle kuelewa. Ngoja anaandika 'goja'.

Ila pisi kiaina.View attachment 2535833
Huyu mfundishe tu anaonekana anahitaji matengenezo kidogo tu, ila make sure sio mwanafunzi mkuu utaja kupata kesi.

Ila pia anajali, huoni anakwambia pole na kazi? Sisi mafeminist hilo neno pole na kazi ni mwiko 🤣
 
Back
Top Bottom