Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,210
- 183,059
Utakua umefanya la maana mkuu!Ntajitolea kumfundisha kuandika[emoji28][emoji28]
Utakua umefanya la maana mkuu!Ntajitolea kumfundisha kuandika[emoji28][emoji28]
Ila namba ndo hajatoa itakua bado anampendaUtakua umefanya la maana mkuu!
Mwamba amemuelewa sana sema dogo utoto mwingi!Ila namba ndo hajatoa itakua bado anampenda
siku hizi kiswahili ndiyo kimepotea kabisa, hicho nilichosoma hapo hata sijui ni lugha ganibx ndio nini?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mutoto mwenyewe..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha haSio tu kufupisha soma tu ujumbe wake wa mwanzo utagundua hamna kitu apo .
Itakua ni lugha mpya mjinisiku hizi kiswahili ndiyo kimepotea kabisa, hicho nilichosoma hapo hata sijui ni lugha gani
Tena nyie ndio mmezidi xana [emoji28][emoji28]Angalia chart nyingi zilizotumwa humu ni xxxxxxx baxi xikujua yaan tafran hao wadada ndio kabisa sijui tunafeli wapj kuandika wakati tunatumia keyboard ya simu
Hawa namna hii FB wamejaa xana [emoji28][emoji28][emoji28]Hapo Ni hewa mzee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Huo ukorofi 🤣🤣Xaxa xi uxumbufu jamani
😂🤣Xaxa xi uxumbufu jamani
Ukichunguza vizuri utagundua waandishi wa namna hii walio wengi ni kizazi cha miaka ya 90 na kuendeleaa.Alikomea la ngapi anashindwa kuandika na mama yangu mzee anaandika vizuri
Tena hao wana nafuu wengine anaandika p akimaanisha powa au ko akimaanisha kwa hiyo.. aiseee hawa wanachefua hatari [emoji28][emoji28][emoji28]kuna wale wa sw pw(anamaanisha sawa poa)daah
"Mahana"
Bila shaka itakuwa pisi ya kanda ya ziwa ofisa
Msiwasahau wale wa gali badala ya gari, ha ha hawa ukiwakosoa jibu lao moja tu. Utasikia lakini si umeelewa?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wanaongea vizuri tu ila kwenye kuandika sms ndio hayo mapepo ya kutotumia herufi husika huwaingilia