mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,950
Ulijifunzia wapi kusifu, hata kama sifa hizo ni za Kibaradhuli?
Hongera mwaJ kwa kuyaweza majigambo;
Umenifanya nicheke baada ya kununa nilipouona kwanza waraka unaodaiwa ni wa wanauamsho.
Shame on them all.
Bazazi!
Jamani yaani ina maana mie baradhuli?!! Ila ni bora kama nimekufanya ucheke maana hapo ninakuwa na uhakika there is peace and I'm safe!