ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,592
- 119,711
Dah, kweli? Hivi kumbe nina upenyo kwenye moyo wako!!!Du nilikuwa ninawaza nitakuona wapi, moyo wangu sasa burdani.
Dah, kweli? Hivi kumbe nina upenyo kwenye moyo wako!!!Du nilikuwa ninawaza nitakuona wapi, moyo wangu sasa burdani.
I am committed to Asprin mkuu.Sky Eclat ukweli tu labda hukuwa na nyege, ungekuwa nazo ungeliamsha dude tu. Humu wanasema tu lakini wadada kibao wanapashwa viporo na jamaa zao wa zamani. Nakumbuka wakati wa ujana wangu, on my birthday ex akanitumia text ya happy birthday, nilipomjibu tu nikaambiwa ana zawadi yangu. I banged that tight little thing and my birthday ended really on a high..![]()
![]()
Una roho mbaya!!!Zimwi likujualo mkuu, wewe na mimi ni kaka na dada.
wivu sina ila roho inauma...Du nilikuwa ninawaza nitakuona wapi, moyo wangu sasa burdani.
Huu sasa ni uchokoziYou know he is your ex... He knows you in out... Ndiyo maana hata hakukuliza if you would like to sleep or not akaamua kujichukulia maamuizi...
Hakuna kitu kama " just as a friend"...
Kwa hiyo umemtaarifa mchumba wako kuhusu hiyo out na Ex?
Cc: mahondaw
Na hili ndilo neno la Mungu....Mary ameondoka na mimi nimempata Aspirin maisha yasonge
Kwani tulikuwa na mkataba mkuu?
Sky Eclat ukweli tu labda hukuwa na nyege, ungekuwa nazo ungeliamsha dude tu. Humu wanasema tu lakini wadada kibao wanapashwa viporo na jamaa zao wa zamani. Nakumbuka wakati wa ujana wangu, on my birthday ex akanitumia text ya happy birthday, nilipomjibu tu nikaambiwa ana zawadi yangu. I banged that tight little thing and my birthday ended really on a high..![]()
![]()
ndiyo umekuja kunianika huku??Yaani zilianza zile ningekuoa mimi, vikaenda, huyu niliyenae sijamuoa kanisani, nikamuona mzushi huyu, mwanamke unaishi nae, mara ameamka amekwenda reception khee.
Dah hii lazima ina maumivu akijua ndiyo unachomuwaziaLakini si unajua mengi mmepishana hata ukimwangalia unawaza na huyu pia unabaki kuguna.