Nilikuja kukusalimu tu si kuliamsha dude

Nilikuja kukusalimu tu si kuliamsha dude

Mkuu Sky Eclat katika ubora wako.
Ila jamaa alikua anataka mkumbushie zilipendwa. Mpashe kiporo tu.
 
Huu mfumo utakuchelewesha sana mkuu, mleta mada ameshasema ndo mpenz wake wa kwanza.... kwahyo walikuwa hawaend kufanya kitu kigen kias cha kuanza kumtengeneza awe comfortable, kwahyo kumranda siku hyo hyo ilikuwa inawezekana.

alichokosea jamaa ni kitu kidogo sana,
Mnapoachana na mpenz wako kwa kipind kirefu, mkija kukutana tena, kila mtu huwa anajaribu kujiweka juu.... yan kila mtu anaonyesha pride yake, kwahyo kitendo cha kumpeleka gest kilikuwa na tafsiri ya dharau kwa mwanamke, kichwan alianza kujiuliza hiv huyu ananichukuliaje? Akaona ameletewa dharau, lakin jamaa ilibd aombe geto hta la jamaa ake aende akakae na bint huko huku wanakula nyamachoma yao wakiwa ndan, hku jamaa akiwa amejifanya mdooooogo, hapo dogo hasingechomoa.

kisaikolojia, mwanamke mwenyewe alikuwa amejiandaa kuliwa... (japokuwa atabisha).. unakuta alishavaa ile chup yake anayoipenda... ila jamaa kashindwa kutembea kwenye reli.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hizo pupa nazozizungumzia,hata kama ndo alikuwa mtu wake wa kwanza mazingira yanabadilika,sio kila mpenzi wakwanza bas akikutana tu na wewe anakuwa tayari kuliwa,kunakuwapo factors nyingi za kuziangalia,alafu a gentleman always takes his time.haina haja ya kuwa na haraka.alafu maswala ya kucheda demu kwenye geto la mshkaji ni mambo wanafanya wavulana na wasichana wadogo,mdada mwenye heshima zake unaanzaje kumpeleka kwenye geto la kuazima.
 
Hell yeah!!!
Trust me kuna mtu mmoja maishani mwako alishawahi kukaa chamber ya ndani kabisa ya upendo moyoni halafu hata kuachana kwenu kulikuwa kwa namna isiyo na mashiko yoyote...halafu zaidi hata mapenzi hamkuya enjoy kihivyo...

Alichokosea tu huyo bwana ni kuwa alijawa na papara, hakutumia muda kukusoma ili atambue kama mpo ukurasa mmoja au lah...

Inategemea mkuu hivi wewe baada ya miaka let say 20 unaweza kupasha na yule wa form four D?
 
Ndo hizo pupa nazozizungumzia,hata kama ndo alikuwa mtu wake wa kwanza mazingira yanabadilika,sio kila mpenzi wakwanza bas akikutana tu na wewe anakuwa tayari kuliwa,kunakuwapo factors nyingi za kuziangalia,alafu a gentleman always takes his time.haina haja ya kuwa na haraka.alafu maswala ya kucheda demu kwenye geto la mshkaji ni mambo wanafanya wavulana na wasichana wadogo,mdada mwenye heshima zake unaanzaje kumpeleka kwenye geto la kuazima.
Haahaaaa.. tuanzie hapa mkuu, kwanza unapojifanya gentleman, kati ya wanawake mia... tisin wote watakudharau,

wanawake wanapenda ma "gentlemen" kwa maneno tuu... lakin kwa uhalisia hamna kitu kama hiko, tena ukijifanya gentleman ni kwamba unaandaa mazingira ya kujiua na presha... maana siku utakutana na jamaa kauzu hlf ndo anamtafuna yule mwanamke unayemuundia strategies kibaaao unazoziita za kigentleman.

wanawake wengi, wakiwa wamejiandaa kuliwa na ukashindwa kumtafuna, huwa HAWARUDI, kwahyo "unapokutana na mfalme msalimie hapo hapo"

Kukaa na mpenz wako kwenye geto la jamaa yako, wakat anafaham una kwako ila tuu kwakuwa umeoa huwez kumpeleka pale, hyo haiwez kushusha heshima yako kamwe, hlf unachotakiwa kujua, kwenye hlo geto haitokuwa tabia endelevu, litatumika kumkumbusha mazur yako tuu... ili baadae aombe yeye kukuona, na mchague lodge nzur mkafanye yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaaani wanaume wa siku hizi ukikubali urafiki tu wanawaza ngono.hata huku jf ukimpa namba siku mbili anaanza kukuambia alivo na nyege inakuwa vipi kugegedana.najiuliza hii forum ni ya ngono? hatuwezi kuwasiliana kusaidiana kimaisha?

Ukitaka saidiwa kimaisha wasiliana na kina Mengi
 
Malipo unaambiwa ni hapa hapa Duniani!Nyama ule then ukalipie wap!!!!!
 
Usilaumu wanaume kwani wanaume ni kama sumaku ambayo inanasa vitu vyote vyenye asili ya chuma...ulichotakiwa ni kumkataa shetani na mambo yake yote. Kama alikuwa ni mpenzi wako hakuna haja ya kwenda sehemu yenye nyama tamu mkiwa wawili wakati huyo ni alikuwa mpenzi wako (hapo alitaka kutekeleza kauli mbiu ya MTALAKA HATONGOZI na kweli asilimia kubwa huwa wanapasha kiporo kama mazoea yakijirudia sema tu huyo jamaa amekuwa na haraka, mwingine mgekula nyama alafu angekuacha na kukurudisha nyumbani ...ipo siku unashitukia umeingia king alafu unajiuliza ilikuwaje hapa)
 
Huyu kaka alikuwa first boy friend wangu miaka ileee, tulipotezana kabisa si unajua harakati za maisha zilivyo nyingi. Imetokea anakaa jirani na work mate wangu, katika maongezi work mate alinitajia mitaa anayokaa nikakupunguka unaifahamu hii family, maana kile kipindi cha uboy friend na ugirl friend shurti kwenye party utinge home na mwenyewe ukijua huyu ndiye wa kwashida na raha unajipendekeza kwa mama mkwe pia.

Basi shost alimpa salamu na nikapewa na number ya simu, tulisalimiana tukakumbushana mambo ya historia na kucheka basi nilimwambia leo J'mosi nitakwenda kumuona shost maana analeta vitenge kutoka Kigoma. Nimefika mitaa jamaa akaniambia tukale nyama kuna sehemu wanachoma nyama tamu sana. Tumekwenda kula khe mwanaume anatafuta chumba guest, jamani jamani alinibore vibaya sana.

Hivi ndiyo weekend ilivyokwisha sidhani kama tutawasiliana tena.
Kwaiyo UNATOA? HUTOI?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaaani wanaume wa siku hizi ukikubali urafiki tu wanawaza ngono.hata huku jf ukimpa namba siku mbili anaanza kukuambia alivo na nyege inakuwa vipi kugegedana.najiuliza hii forum ni ya ngono? hatuwezi kuwasiliana kusaidiana kimaisha?
Nikaribishe pm bhac...Mimi tutakuwa tunawasiliana kusaidiana kimaisha
 
Back
Top Bottom