Nilikuja kukusalimu tu si kuliamsha dude

Nilikuja kukusalimu tu si kuliamsha dude

Mi nmeshakuelewa... Ni kwamba, kwa leo amewahi sana..! Alikuwa na haraka. Ilitakiwa asubiri kidogo.. At least after two or three meetings..! Pia inaonekana hamkuanza kugonga moja moto moja baridi..!

All in all hizo ni mambo (misinterpretation) za kawaida, sijui kwann umeileta hapa(labda umefurahia, and so unataka uonyeshe jinsi ulivyo m-conquor kijana wa watu).
But sio kitu cha ajabu kihivyo cause hata kama ingekuwa wewe ndo uliyejichanganya nadhani ungeleta uzi hapa ukimlaumu kwann hakuchukua room mkamalizane and so jamaa angeonekana ni mzembe (ungemshusha) na hili ndo tatzo la wanawake (they think that everything is for them/dunia inazunguka kwaajili yao tu!)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu kaka alikuwa first boy friend wangu miaka ileee, tulipotezana kabisa si unajua harakati za maisha zilivyo nyingi. Imetokea anakaa jirani na work mate wangu, katika maongezi work mate alinitajia mitaa anayokaa nikakupunguka unaifahamu hii family, maana kile kipindi cha uboy friend na ugirl friend shurti kwenye party utinge home na mwenyewe ukijua huyu ndiye wa kwashida na raha unajipendekeza kwa mama mkwe pia.

Basi shost alimpa salamu na nikapewa na number ya simu, tulisalimiana tukakumbushana mambo ya historia na kucheka basi nilimwambia leo J'mosi nitakwenda kumuona shost maana analeta vitenge kutoka Kigoma. Nimefika mitaa jamaa akaniambia tukale nyama kuna sehemu wanachoma nyama tamu sana. Tumekwenda kula khe mwanaume anatafuta chumba guest, jamani jamani alinibore vibaya sana.

Hivi ndiyo weekend ilivyokwisha sidhani kama tutawasiliana tena.
Kiporo hakihitaji moto mwingi
Yeye alipoona umekubali kula nyama akaona ni kama enzi zile
 
yaaani wanaume wa siku hizi ukikubali urafiki tu wanawaza ngono.hata huku jf ukimpa namba siku mbili anaanza kukuambia alivo na nyege inakuwa vipi kugegedana.najiuliza hii forum ni ya ngono? hatuwezi kuwasiliana kusaidiana kimaisha?
Ni mtu wake walipotezana muda, sasa wakipasha kiporo kuna shida gani?
 
Hapo alikosea alitakiwa aombe kabisa kabla ya hiyo jana, usimkatie mawasiliano lakini huenda alitaka tu muende room bila kufanya huko kitu

sent from my Tecno W3
 
Wala hata ucmfanyie hvyo, we mwnyw umekiri alikuwa ka-boy wako na ulimpenda ila maisha yaliwatenganisha.... sasa mmekutana tena mkiwa watu wazima, mtt umejua kuoga unapendeza, kila kiungo kmenoga mwilini.... kutamani ana haki ictoshe hamkuachana kwa ubaya, ila ametumia utu uzima tu kutokukutongoza kw mara ya pili na ww km haukuwa tayari kwa cku hyo bas co mby ungemjibu kiistaarabu ila mnaweza kupanga nxt tym mkaonana mkaongea mambo yenu then 'you do your things'. Najua now umekuwa na unahtaji ajue u r not that much cheap, ni vzr ila ucmchunie wala kumnyima mwenzio, endeleeni kuwasiliana coz haya maisha tu bwn hujui leo wala kesho! I put myself into his shoes....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu kaka alikuwa first boy friend wangu miaka ileee, tulipotezana kabisa si unajua harakati za maisha zilivyo nyingi. Imetokea anakaa jirani na work mate wangu, katika maongezi work mate alinitajia mitaa anayokaa nikakupunguka unaifahamu hii family, maana kile kipindi cha uboy friend na ugirl friend shurti kwenye party utinge home na mwenyewe ukijua huyu ndiye wa kwashida na raha unajipendekeza kwa mama mkwe pia.

Basi shost alimpa salamu na nikapewa na number ya simu, tulisalimiana tukakumbushana mambo ya historia na kucheka basi nilimwambia leo J'mosi nitakwenda kumuona shost maana analeta vitenge kutoka Kigoma. Nimefika mitaa jamaa akaniambia tukale nyama kuna sehemu wanachoma nyama tamu sana. Tumekwenda kula khe mwanaume anatafuta chumba guest, jamani jamani alinibore vibaya sana.

Hivi ndiyo weekend ilivyokwisha sidhani kama tutawasiliana tena.
Babe ndo ulivoamua kuniumiza roho kihivi?

Mi bado nakupenda....
 
Ninachojua tuu katika haya mambo ni kuwa hayana dhamana.
 
yaaani wanaume wa siku hizi ukikubali urafiki tu wanawaza ngono.hata huku jf ukimpa namba siku mbili anaanza kukuambia alivo na nyege inakuwa vipi kugegedana.najiuliza hii forum ni ya ngono? hatuwezi kuwasiliana kusaidiana kimaisha?
Dah, we mdada bwana. Kumbe hata jf wanaume wanataka kuliamsha dude mkishafahamiana tu!!!

Lakini ujuwe ni ngumu sana kwa me vs ke kuwa marafiki just urafiki tu.
 
Dah, we mdada bwana. Kumbe hata jf wanaume wanataka kuliamsha dude mkishafahamiana tu!!!

Lakini ujuwe ni ngumu sana kwa me vs ke kuwa marafiki just urafiki tu.
Du nilikuwa ninawaza nitakuona wapi, moyo wangu sasa burdani.
 
Sky Eclat ukweli tu labda hukuwa na nyege, ungekuwa nazo ungeliamsha dude tu. Humu wanasema tu lakini wadada kibao wanapashwa viporo na jamaa zao wa zamani. Nakumbuka wakati wa ujana wangu, on my birthday ex akanitumia text ya happy birthday, nilipomjibu tu nikaambiwa ana zawadi yangu. I banged that tight little thing and my birthday ended really on a high..
 
Back
Top Bottom