Nilikuja kukusalimu tu si kuliamsha dude

Nilikuja kukusalimu tu si kuliamsha dude

Huu mfumo utakuchelewesha sana mkuu, mleta mada ameshasema ndo mpenz wake wa kwanza.... kwahyo walikuwa hawaend kufanya kitu kigen kias cha kuanza kumtengeneza awe comfortable, kwahyo kumranda siku hyo hyo ilikuwa inawezekana.

alichokosea jamaa ni kitu kidogo sana,
Mnapoachana na mpenz wako kwa kipind kirefu, mkija kukutana tena, kila mtu huwa anajaribu kujiweka juu.... yan kila mtu anaonyesha pride yake, kwahyo kitendo cha kumpeleka gest kilikuwa na tafsiri ya dharau kwa mwanamke, kichwan alianza kujiuliza hiv huyu ananichukuliaje? Akaona ameletewa dharau, lakin jamaa ilibd aombe geto hta la jamaa ake aende akakae na bint huko huku wanakula nyamachoma yao wakiwa ndan, hku jamaa akiwa amejifanya mdooooogo, hapo dogo hasingechomoa.

kisaikolojia, mwanamke mwenyewe alikuwa amejiandaa kuliwa... (japokuwa atabisha).. unakuta alishavaa ile chup yake anayoipenda... ila jamaa kashindwa kutembea kwenye reli.



Sent using Jamii Forums mobile app
naona watu na taaluma zenu..teh..teh..teh..
 
Huyu kaka alikuwa first boy friend wangu miaka ileee, tulipotezana kabisa si unajua harakati za maisha zilivyo nyingi. Imetokea anakaa jirani na work mate wangu, katika maongezi work mate alinitajia mitaa anayokaa nikakupunguka unaifahamu hii family, maana kile kipindi cha uboy friend na ugirl friend shurti kwenye party utinge home na mwenyewe ukijua huyu ndiye wa kwashida na raha unajipendekeza kwa mama mkwe pia.

Basi shost alimpa salamu na nikapewa na number ya simu, tulisalimiana tukakumbushana mambo ya historia na kucheka basi nilimwambia leo J'mosi nitakwenda kumuona shost maana analeta vitenge kutoka Kigoma. Nimefika mitaa jamaa akaniambia tukale nyama kuna sehemu wanachoma nyama tamu sana. Tumekwenda kula khe mwanaume anatafuta chumba guest, jamani jamani alinibore vibaya sana.

Hivi ndiyo weekend ilivyokwisha sidhani kama tutawasiliana tena.
Vya kale dhahabu bibie mwenzio sema kaja na gia nyepesi ya auto angetumia manual , naamini uzi ungesome, , NIMELIAMSHA DUDE NA ZILIPENDWA Ila mpe jamaa kwani ataondoka nayo, usikute chips zege zimemmaliza anapiga kamoja tu kama kuku wa kisasa anakoroma na hela ya brazilian hair anakuachia kuwa na huruma kwa zilipendwa.

driller⛏⚒
 
Huu mfumo utakuchelewesha sana mkuu, mleta mada ameshasema ndo mpenz wake wa kwanza.... kwahyo walikuwa hawaend kufanya kitu kigen kias cha kuanza kumtengeneza awe comfortable, kwahyo kumranda siku hyo hyo ilikuwa inawezekana.

alichokosea jamaa ni kitu kidogo sana,
Mnapoachana na mpenz wako kwa kipind kirefu, mkija kukutana tena, kila mtu huwa anajaribu kujiweka juu.... yan kila mtu anaonyesha pride yake, kwahyo kitendo cha kumpeleka gest kilikuwa na tafsiri ya dharau kwa mwanamke, kichwan alianza kujiuliza hiv huyu ananichukuliaje? Akaona ameletewa dharau, lakin jamaa ilibd aombe geto hta la jamaa ake aende akakae na bint huko huku wanakula nyamachoma yao wakiwa ndan, hku jamaa akiwa amejifanya mdooooogo, hapo dogo hasingechomoa.

kisaikolojia, mwanamke mwenyewe alikuwa amejiandaa kuliwa... (japokuwa atabisha).. unakuta alishavaa ile chup yake anayoipenda... ila jamaa kashindwa kutembea kwenye reli.



Sent using Jamii Forums mobile app
Dope

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka baada ya miaka hata kama ni keki huwazi kuwa inaweza kuwa imeoza?
Usilinganishe keki na uhusiano hasa huu wa kumegana. Huwa mtu anarudia hisia za mlikotoka. Mimi siwezi kuanza kusaka uhusiano ulopita ni kutafuta mwendelezo...kosa ni lako dada usirudie ikiwa unaheshimu ndoa yake.
 
yaaani wanaume wa siku hizi ukikubali urafiki tu wanawaza ngono.hata huku jf ukimpa namba siku mbili anaanza kukuambia alivo na nyege inakuwa vipi kugegedana.najiuliza hii forum ni ya ngono? hatuwezi kuwasiliana kusaidiana kimaisha?

Hata huko pia ni kusaidiana kimaisha. Cha ajabu nini?!!!
 
Usilinganishe keki na uhusiano hasa huu wa kumegana. Huwa mtu anarudia hisia za mlikotoka. Mimi siwezi kuanza kusaka uhusiano ulopita ni kutafuta mwendelezo...kosa ni lako dada usirudie ikiwa unaheshimu ndoa yake.
Nimekusikia kaka
 
Back
Top Bottom