Ushauri gani kwa kifyenge? Akaloge ndio niniDawa ya moto ni moto tu...walikuumiza na kusababishia matatizo makubwa.
Kama ulifungwa kwa kumtia mimba na mtoto mwenyewe umeambiwa si wako basi mroge huyo mtoto awe chizi mkose wote na wao wapate kujua uchungu wa matatizo.
Achana kabisa na hizi Stori oooooh eti msamehe tu mungu atakulipa..dawa ya ubaya ni ubaya tu.
Walikuharibia na wewe waharibie tu Maaana hapo ulipo huna cha kupoteza tena.
Kenge wewe unaeshindwa kuandika hata lugha yako ya kiswahili!Si ajabu ulitiwa hatiani kwa kushindwa kujitetea vizuri,maana kama uandishi ni huu,basi yamkini pia kuongea una matatizoNaomba nikutukane mimi Pumbavu kabisa yaani ujumbe mzima umeona hicho umeshindwa kutoa ushauri we Kenge kweli.
Huo ufyenge wa kuroga ndio umemfanya awe huru mtaani hadi sasa ameweza kunzisha kauzi humu JF....Kalio wewe.Ushauri gani kwa kifyenge? Akaloge ndio nini
Yaani huyu jamaa ndio maana hata hakuona kama elimu ni muhimu kwa huyo binti.Kuanzia neno la kwanza hadi la mwisho katika andiko lako hujaweka nukta wala koma,yaani ni kwamba umeandika sentensi moja kuuuuuubwa sana.Ila pia maneno mengi umeyakosea sana,kwenye "L" unaweka "R" na matumizi ya "H" pasipotakiwa,hii inaleta tabu kwa mtu kuelewa vizuri ujumbe uliokusudiwa
hii njia ya pili nahisi inamfaa maana kama kaweza kuroga akatoka jela atashindwaje kuwafanya misukule huyo demu na jamaa yake.
Mroge tu huyo mume wake na mtotoSasa watanishitaki kivip wakani waliniambia mtoto sio wamgu mbere ya kadamnasi wamesibitisha hilo
brother naomba email yako tuwasiliane mdogo wang amenyinwa dhamanaHabari za sahizi wanajamvi mnamo mwaka 2011 nilikutwa na hatiya ya kumpa mimba mwanafunzi wa kidato cha nne nikahukumiwa kifungo cha miaka 30 kwa mujibu wa mahakama walivyo hamua shauri hilo nilienda jela
Kutumikia kifungo hicho ila baada ya miaka sita wazazi wangu walienda kwa mtahalamu nazani mmeherewa (walienda kwa mganga) nikifanikiwa kuachiwa kwa mazingila ya kutatanisha sana na kuludi uraiyani ila sasa kilicho niuma nikamkuta yule binti anaishi na mwanaume mwingine na nilipo fanya uchunguzi ndio mwnye yule mtoto na amefanana nae sula na kila kitu sasa cha kushangaza zaidi nilipo enda kumdai mtoto wangu nilicho jibiwa na yule mwanamke pamoja na wazazi wa mwanamke kuwa yule mtoto sio wa wa kwangu wala sina haki yangu pale pia kauli walio sema wazazi wa mwanamke mimi nilikuwa chambo tuu kwa sababu sina kitu(kapuku)
je kisheria ipoje naombeni msaada watahalamu wa sheria
Asanteni sana mawazo yenu yanaitajika