Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Achana na huyo mwanamke mpumbavu. Wewe cha kufanya, fungua kesi ukiishtaki jamuhuri kuwa ilikuhukumu bila hatia hivyo wakulipe fidia ya milioni sabini na mbili. Yani kila mwezi mmoja ungeweza kujizalishia milioni moja, kwa mwaka milioni 12 na kwa miaka 6 milioni 72. Hilo litaifanya mahakama ilazimishe kupima DNA ili kupata uthibitisho then kesi itaendelea na wewe utalipwa fidia.
Tafuta mwanasheria ambaye kama ukishinda hii kesi atakuala 30% ya hiyo hela.
Tafuta mwanasheria ambaye kama ukishinda hii kesi atakuala 30% ya hiyo hela.