ZOPPA
JF-Expert Member
- Jan 20, 2017
- 2,691
- 2,787
Habari za sahizi wanajamvi mnamo mwaka 2011 nilikutwa na hatiya ya kumpa mimba mwanafunzi wa kidato cha nne nikahukumiwa kifungo cha miaka 30 kwa mujibu wa mahakama walivyo hamua shauri hilo nilienda jela
Kutumikia kifungo hicho ila baada ya miaka sita wazazi wangu walienda kwa mtahalamu nazani mmeherewa (walienda kwa mganga) nikifanikiwa kuachiwa kwa mazingila ya kutatanisha sana na kuludi uraiyani ila sasa kilicho niuma nikamkuta yule binti anaishi na mwanaume mwingine na nilipo fanya uchunguzi ndio mwnye yule mtoto na amefanana nae sula na kila kitu sasa cha kushangaza zaidi nilipo enda kumdai mtoto wangu nilicho jibiwa na yule mwanamke pamoja na wazazi wa mwanamke kuwa yule mtoto sio wa wa kwangu wala sina haki yangu pale pia kauli walio sema wazazi wa mwanamke mimi nilikuwa chambo tuu kwa sababu sina kitu(kapuku)
je kisheria ipoje naombeni msaada watahalamu wa sheria
Asanteni sana mawazo yenu yanaitajika
Kutumikia kifungo hicho ila baada ya miaka sita wazazi wangu walienda kwa mtahalamu nazani mmeherewa (walienda kwa mganga) nikifanikiwa kuachiwa kwa mazingila ya kutatanisha sana na kuludi uraiyani ila sasa kilicho niuma nikamkuta yule binti anaishi na mwanaume mwingine na nilipo fanya uchunguzi ndio mwnye yule mtoto na amefanana nae sula na kila kitu sasa cha kushangaza zaidi nilipo enda kumdai mtoto wangu nilicho jibiwa na yule mwanamke pamoja na wazazi wa mwanamke kuwa yule mtoto sio wa wa kwangu wala sina haki yangu pale pia kauli walio sema wazazi wa mwanamke mimi nilikuwa chambo tuu kwa sababu sina kitu(kapuku)
je kisheria ipoje naombeni msaada watahalamu wa sheria
Asanteni sana mawazo yenu yanaitajika