Nilishakubali kitambo sema huu uzi unanikumbusha machunguPoleeeeeh sana.
Kuna maisha nje ya ndoto zako. Kubali hali iliyopo kwa sasa kwako.
Form six aliyefeli ni form four aliyefaulu. Sasa kama Six ulipataka mziro wako au mfoo uliopevuka ulitaka uendeshe ndege ya nani...Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044View attachment 1551198
My dear MHakika We ni mchokozi sana
Ewe mgonjwa
Poleeeeeh sanaaah, maisha lazima yaendelee.Nilishakubali kitambo sema huu uzi unanikumbusha machungu
😀😀😀😀 dahWakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044View attachment 1551198
Mi naona PGM waifute tu sa kama watu wanaishia kuwa ma engineer Kama walio soma PCM sioni ulazima wa kuwepo hyo combinationPoleeeeeh sanaaah, maisha lazima yaendelee.
PGM haiwezi futwa kamwee, km ilivyo CBG,Mi naona PGM waifute tu sa kama watu wanaishia kuwa ma engineer Kama walio soma PCM sioni ulazima wa kuwepo hyo combination
Maana hata serikali haina mkopo wake wengi wanaisoma hyo kozi wanajiweza familia nyumbani wanajiweza kiuchumi na wengi wanaanzia kusoma diploma yake
Naskia ipo alternative yakufikia uruban kuanzia diploma ila sina uhakika kama ni kweli
Hongera kwa kupata ajira wenzako hata hela ya kununua sabuni hawana na wamemaliza degree pale jalalani.Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044View attachment 1551198
UtuacheToka ndani acha kujifungia at least kasalimie hata watu
Nyie endeleeni kujikusanya kwenye ule uzi wenu mkijifariji mpo sawa . mnahitaji tiba nyie wagonjwa Anne
Kapteni wetu mlevi mmojaanga la paa ya jiko la muhindi au lipi? Yaan umejua kunchekesha wee cc nipo hoi hapa lol.
Ahhahah atakua alidifferentiate constant huyu mkuuUliintergrate zero nini? Joke
Pole sana kwa kuukosa urubani Wa bombadia endelea kuwa rubani Wa msosi. Nami nilikuwa na ndoto kama zako japo sijaenda mbali sana Mimi ni rubani Wa kuku, bata na ndege wengine wafugwao..kutoka kutaka kuwa rubani Wa drimlaina mpaka rubani Wa Kuku nimehustle!
MuoneAngani hiyo unamaanisha labda iwe bar au pub ?
Yaani hiyo kazi muda wowote unakufa angani..Sijui kwa nini watu huwa wanapapatikia urubani wakati ni kazi mojawapo ya hatari sana na yenye mshahara wa kawaida tu. Sijui kama ni ushamba au ni nini.
Lini utaacha?Nyingi