Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,407
Pilot First Class
Dharau hizi Zina mwisho wakeKelele ya kwanza kwa mpishi wakee
WivuuUrubani uko overrated sana!
Kazi ya kawaida sana na wale flight attendant ndio kabisaa na mabegi yao ukiwaona heee! Kumbe wanaenda kuwa waiters uko Angani life bana!
Kupitia upishi huo huo ni fursa ya kuanzisha cafe yako kisha hotel nk.Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044View attachment 1551198
Waiters ni waiters tu iwe kwenye bar,ndege,hotel wote usoma kozi mojaWivuu
Usikatishe watu tamaa mwanangu.. kama wewe umefeli kufikia Ndoto yako ni kutokana na kukata tamaa kwako.. wapo watu nawajua wamekuwa marubani bila hata hiyo PGM yani cha muhimu ni kupambania Ndoto tuWakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi
Aisee elimu hii ovyo sana.
View attachment 1274044View attachment 1551198
Wivuu
Kusoma si kutusua maisha mmoja ingawa unaongeza chance ya kutusua. Kuna wasomi ambao elimu bado haijawakomboa.Uliambiwa usome wewe ukacheza unafikiri nini? Lazima adhabu ya kutokusoma ikuandame. Ungalipata div one A physics, A maths ungeenda engineering tu. Angalia vyuo vya engineering vinavyohaha kutafuta wanafunzi. Rubani kwa taarifa yako ni dereva kama wa Passo ila yeye Passo yake inaruka angani.
Poa. Wewe unaumia nn?Kwa kipindi ulichosoma Kama umeishia upishi Kuna uzembe ulifanya
Bei gani?Ata kama umemaliza kidato cha nne, unaweza kusoma urubani, muhimu hela ya ada iwepo
Ukiingia google utaona, inategemea na nchiBei gani?