Nilichokutana nacho jana sina hamu

Nilichokutana nacho jana sina hamu

Illuminata Rodgers

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
2,845
Reaction score
2,030
Hello jf,

Jumapili ya jana ilikua mbaya sana kwangu sababu nilikutana na kitu ambacho sikutarajia kukutana nacho iko hivi,

Jana nikiwa zangu town nikawa nimepitia kwenye duka fulani hivi la vipodozi nikiwa hapo gafla akaingia gentleman mmoja kabeba handbag na mdada mjamzito kwa mtazamo tu ikaonekana ni mtu na mtuye kumcheki vizuri yule man nikagundua ni man ambaye nilimzingua kipindi hicho daah nilitaman ardhi ipasuke nipotee maana kachange sana amekua na muonekano amaizing..sikutaka nimeet nae uzuri duka ni kubwa nikajichanganya nikatoka zangu hapo dukani nikaenda simama duka la jirani na hapo ili nione wakitoka pale wanaelekea wap,

Kwa vile kulikua na kimvua ikaonekana kama nimejisitiri kimvua kumbe wala basi muda si muda hao wakatoka zao dukan man kamshika bibie mkono hapo ndo nikapigwa butwaa zaidi baada ya man na huyo bibie kuingia kwenye moja ya car zilizopaki pale nje ya duka nami faster nikaingia zangu kwenye hice huyoo mpaka home..to be honestly niliwatamania saaaaana!
 
Hello jf,jumapili ya jana ilikua mbaya sana kwangu sababu nilikutana na kitu ambacho sikutarajia kukutana nacho iko hivi,jana nikiwa zangu town nikawa nimepitia kwenye duka flani hivi la vipodozi nikiwa hapo gafla akaingia gentle man mmoja kabeba handbag na mdada mjamzito kwa mtazamo tu ikaonekana ni mtu na mtuye kumcheki vizuri yule man nikagundua ni man ambaye nilimzingua kipindi hicho daah nilitaman ardhi ipasuke nipotee man kachange sana amekua na muonekano amaizing..sikutaka nimeet nae uzuri duka ni kubwa nikajichanganya nikatoka zangu hapo dukani nikaenda simama duka la jirani na hapo ili nione wakitoka pale wanaelekea wap,kwa vile kulikua na kimvua ikaonekana kama nimejisitiri kimvua kumbe wala basi muda si muda hao wakatoka zao dukan man kamshika bibie mkono hapo ndo nikapigwa butwaa zaid baada ya man na huyo bibie kuingia kwenye moja ya car zilizopak pale nje ya duka nami faster nikaingia zangu kwenye hice huyoo mpaka home..to be honestly niliwatamania saaaaana!
Mnazinguaga sana....
Ila hongera kwa kukomfesi... maana nadhani bado unajilaumu
 
Hiyo ni kawaida, wadada mnaowazingua wanaume inawatokea puani sana hii kitu!
Kuna wanaume ambao hawapendi kabisa kujionyesha wana nini pindi wanapotongoza, au wanakuwa ni fighters haswa wa life, ikitokea ukimzingua siku ukikutana nae utatamani ardhi ipasuke!!
 
Hello jf,jumapili ya jana ilikua mbaya sana kwangu sababu nilikutana na kitu ambacho sikutarajia kukutana nacho iko hivi,jana nikiwa zangu town nikawa nimepitia kwenye duka flani hivi la vipodozi nikiwa hapo gafla akaingia gentle man mmoja kabeba handbag na mdada mjamzito kwa mtazamo tu ikaonekana ni mtu na mtuye kumcheki vizuri yule man nikagundua ni man ambaye nilimzingua kipindi hicho daah nilitaman ardhi ipasuke nipotee man kachange sana amekua na muonekano amaizing..sikutaka nimeet nae uzuri duka ni kubwa nikajichanganya nikatoka zangu hapo dukani nikaenda simama duka la jirani na hapo ili nione wakitoka pale wanaelekea wap,kwa vile kulikua na kimvua ikaonekana kama nimejisitiri kimvua kumbe wala basi muda si muda hao wakatoka zao dukan man kamshika bibie mkono hapo ndo nikapigwa butwaa zaid baada ya man na huyo bibie kuingia kwenye moja ya car zilizopak pale nje ya duka nami faster nikaingia zangu kwenye hice huyoo mpaka home..to be honestly niliwatamania saaaaana!
Wala usiwe na wasi, mbona hata mimi nilikuona Ila nikajikausha kwa vile kipindi kile uilini "dis" vibaya mno. Kama vipi niachie # yako pm nikutwangie, ikibidi nikufanye kama mwenzio!
 
Hiyo ni kawaida, wadada mnaowazingua wanaume inawatokea puani sana hii kitu!
Kuna wanaume ambao hawapendi kabisa kujionyesha wana nini pindi wanapotongoza, au wanakuwa ni fighters haswa wa life, ikitokea ukimzingua siku ukikutana nae utatamani ardhi ipasuke!!
Kweli nimeamini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom