Nilichogundua kuhusu Arusha

Nilichogundua kuhusu Arusha

Vile vindege vya watu kumi huwa vinaenda safari za wapi?
Sio za watu 10 pekee hata za watu 50 zinatua pale precision wanatua hapo regional airlines zipo flights za nairobi, zanzibar, dar etc moja ya busy airport.

Kikubwa zaidi purposely ni utalii hakuna Boeing au Airbus inayoingia mbugani on top that KIA kipo 40km kutoka Arusha city center mwendo wa 35 minutes.

Think Big.
 
Sio za watu 10 pekee hata za watu 50 zinatua pale precision wanatua hapo regional airlines zipo flights za nairobi, zanzibar, dar etc moja ya busy airport.

Kikubwa zaidi purposely ni utalii hakuna Boeing au Airbus inayoingia mbugani on top that KIA kipo 40km kutoka Arusha city center mwendo wa 35 minutes.

Think Big.
Sio swala la kuthink big ni kufahamishwa
 
Arusha inayo zaidi ya double road hii ni mojawapo.

5.JPG


Hapo bado pedestrian walk side, road lights, traffic signs na reflectors tufunge business.
Mkuu watu tunaobishana nao walifka arusha 2008 tena na Lori la dagaa na wakaishia pale kilombero sokon na stand sasa tukiwawekea picha km hzi wanafkir n Nairobi...!
 
Mkoa wenyewe ni moja ya mikoa yenye umasikini uliokithiri report inasema.

Rock city mall hamna watu kabisa vyumba kibao havina watu ni tropical, lapf, stanbic na tsn ndio at least wamepanga pale ingekua lipo Arusha lingeshajaa hata kabla halijajengwa.
Kwanini sasa lilipelekwa mwanza na sio arusha? Unafikili walikurupuka tu kwenda kujenga kule bila kujua potentiality ya market? Ukitoa Dar, Mwanza ndio jiji linalokuwa kwa kasi, ukibisha ni kwa sababu ya mahaba tu lkn ukweli ndio huo.
 
Arusha inayo zaidi ya double road hii ni mojawapo.

5.JPG


Hapo bado pedestrian walk side, road lights, traffic signs na reflectors tufunge business.
Double road kwa msaada wa jumuiya.bahati imekua mpakani otherwise ingebak double road ile ile ya aicc ya meter 600
 
Kuna mradi wowote unafanywa na taasis yeyote ya serikali wakati huu?? As far as I'm know karibia miradi yote mikubwa imesimama.. Tukirudi kwenye hoja yako, huo mradi ulifunguliwa majuzi tu na uhakiki wa viwanja tayari ulishafanywa na masterplan kutolewa. Maji na Umeme pia tayari vimeshafikishwa pale ili kusupport ujenzi.. Sasa mchakato uko kwenye wazabuni..

Endelea kusubiri siku si nyingi kazi itaanza rasmi..

Jamani tumieni tu lugha yetu ya kiswahili,😀
'As far as i'm know! 😕
 
Kwanini sasa lilipelekwa mwanza na sio arusha? Unafikili walikurupuka tu kwenda kujenga kule bila kujua potentiality ya market? Ukitoa Dar, Mwanza ndio jiji linalokuwa kwa kasi, ukibisha ni kwa sababu ya mahaba tu lkn ukweli ndio huo.
Pole mkoa masikini uliokithiri 2016 unakua kwa kasi maajabu ya mwaka.
 
Double road kwa msaada wa jumuiya.bahati imekua mpakani otherwise ingebak double road ile ile ya aicc ya meter 600
Jumuiya ndio imetoa pesa?
Hivi community ndio ilitoa tender?
Ndio imeshakua hivyo sasa hamna namna.

Hata Mwanza mshukuru change za sherehe za muungano mngebaki na ile ya nera - mahakamani mita 490 😀😀
 
Double road kwa msaada wa jumuiya.bahati imekua mpakani otherwise ingebak double road ile ile ya aicc ya meter 600
Ni ADB na Tanzania government ndio financiers
1474893353332.jpg
Mwanza ndio wamepata kibahati ile pesa ya sherehe za muungano.

 
Unaongea empties hamna official report zinazokutetea yaani unafanya imagination alafu kibaya zaidi unatafsiri critical economic interpretation in such a very layman way


huwezi kutafsiri regional economy into city economy kwa namna nyepesi hivyo zipo formula unatakiwa uziapply hapo na hautapata jibu unless you obtained peripheral district collection ambazo obviously ni ndogo ukilinganisha na za jiji hivyo still you will fall on the same trap.
Hata kama ni issue cmplcted but naamin zipo, hzo formula unazodai naamin zipo kwa ajli ya kujibu such qn kama hutaona shida bas zitumie ili unijibu....kama uwezo wako umeishia kwenye data za mkoa basi....ni ukweli usiopingika kuwa wananchi Wa mkoa Wa mwanza ni maskini na ndo mana kwenye data za NBS, karbu kila sector Mwanza imelag behind five or more regions kama sikosei....but jiji la Mwanza performance yake ni kubwa sana, na wewe unalidharau kwa kuwa limebeba jukumu la mkoa mzima, ukianzia sengerema, kwimba, magu na ukerewe hakuna kitu kabisa na si ajabu wiaya zote hzo zikachangia only 4billion per year kwenye mkoa....mkoa arusha una vivutio kama , ngorongoro creator, riftvalley, national park, national reserve, mount meru, pia biashara ipo Chuga, madini nayo usiseme, sector ya uvuvi ipo, na sector ya agriculture pia Ipo....tourism yenyewe ipo kwenye top three ya sector zinazoingiza pato kwa kiwango cha juu, thus y Chuga ipo juu kimapato...Mwanza Hamna kitu zaid ya uvuvi na biashara.....naamini Mwanza ipo namba nne kwenye rank za tax bcse of Mwanza city.....ndo mana nikasema twende ndan zaid tuangalie miji na majiji yanacontribute kias gan ktk kodi? Tusiishie kwenye mkoa tuuu..... Mi ndo hoja yangu imejikita hapo...na kama hakuna official report bas hyo ni error ya TRA....huwez kuliponda jiji la Mwanza kwa takwimu za mkoa...mana kama ni hvyo bas mwmza inatakiwa iwe manispaa na mosh iwe jiji kitu ambacho si kweli....
 
Nimebahatika kuchungulia projects za halmashauri ya jiji is just the matter of time Arusha inaenda kubadilika sana hasa kwenye miundombinu.

Hipo hiyo project ya kuunganisha kata zote za jiji la Arusha kwa lami na kujenga masoko ya kisasa kwa morombo, mbauda na mkonoo

naiamini team ya madiwani na mayor na mkurugenzi wa jiji wapo njema sana na tayari projects zimeanza.

Mwanza wao watafute mshindani wao Arusha is way highest

Mkuu project ya maana Chuga ni safari city tuu....hzo zingine zipo kwenye master plan ambazo hata Mwanza zipo
 
Mkuu watu tunaobishana nao walifka arusha 2008 tena na Lori la dagaa na wakaishia pale kilombero sokon na stand sasa tukiwawekea picha km hzi wanafkir n Nairobi...!
Sasa mchome cha kushangaza hapo ni nin sasa hiyo double road ndo ya kujisifia....tafuta vitu bana siyo road za hvyo mana hata iringa zipo...mwanza ndo usiseme
 
Makelele tu barabara zenyewe ndo kwanza zinatengenezwa wakati barabara kama hizo zilikuwepo mwanza tangu Arusha ikiwa manispaa.
 
Kwanini sasa lilipelekwa mwanza na sio arusha? Unafikili walikurupuka tu kwenda kujenga kule bila kujua potentiality ya market? Ukitoa Dar, Mwanza ndio jiji linalokuwa kwa kasi, ukibisha ni kwa sababu ya mahaba tu lkn ukweli ndio huo.
Nimemwambia kuwa jiji la mwanza ni habari nyingine.....wanalipa mzigo Wa mkoa mzima na hapo kweli litaonekana si chochote...but service zilizopo Mwanza ni shiidah....serikali haijaweka mkono wake jijini mwanza...bas maghufuli ahamishie international affair zote Dodoma tuone kama Chuga kitabaki kitu
 
Watu wanapapenda sana Arusha inaelekea.maana mada za huko haziishi
 
●●●HAHAHAHA....!!!!●●●

Wewe bado hujaifahamu Arusha hata kidogo. Ukiwa Arusha kama ni starehe utaenjoy hivi vyoote vifuatavyo:-

1) Climatic Condition:

Kanda ya kaskazini kwa ujumla climate yake ni nzuri sana especcially Arusha na Kilimanjaro.

2) Good & Executive Hotels,

Hotel zote kubwa za Arusha ni za 5 * na zipo za kutosha

3) Misosi, Nyamachoma, All fast foods mpaka vyakula vya asili ya kimasai na kichagga.

Kumbuka: wachoma nyama wazuri wanatokea huku na sio wale wa Dsm wanaobabua nyama kama mahindi ya kuchoma.

4) Arusha ipo karibu sana na Airports 3, yaani KIA, JKIA na mdogo wa Kisongo.

5) Swimming pools za hadhi nzuri sana

6) RALLY & Horse Ridding Je?

zipo karibu kiiila mara na maeneo yaliyotengwa kwaajili hiyo.

7) Really National Parks

ie. Ngorongoro, Manyara, Arusha National Parks, Tarangire.

8) Mt. Meru Je?

Kumbuka: after Kilimanjaro Mt. inafuata Mt. Meru na ina barafu throughout

9) Uoto wa Asili je?

Huko Olmotonyi Forest unapajua?

10) Water falls je?

Kuanzia Duluti juu, Meru na Ilboru juu zipo

11) Bar & Night Clubs Je?

Club D, Masai Camp, Apex, Babylon, Via Via.


12) Mito na Mabonde je?


13) HipHop Musics Je?

Unawajua hawa?

-Watengwa?
-Weusi?
-Nako2Nako
-Juniour Nakoz


Sasa umeifahamu Arusha? Usiishie Stand Mgeni. Karibu....

●ILA WARNING:
Ukitaka kuijua Arusha uwe na PESA.
Well said my home boy......

Aje tena..
 
Back
Top Bottom