Kwani ni uongo hakuna vumbi...?! Fact nyingine ukubwa wa jiji ni mdogo mita za mraba, kwa mfano ukiwa Sekei tu tayari upo nje ya jiji hata pale Chekereni...
Hizo Fact alizotoa bwana Fisadi ambazo zinaiweka Kilimanjaro pia juu, wewe mwenyewe haujiulizi kwanini sasa Moshi isiwe jiji...?!
fact za bwana Fisadi zimebase katika maswala ya kodi, we unadhani ni kwanini TAMISEMI hawakuliona hilo...?! Wakaipa Mwanza kwanza hadhi licha ya Arusha kuwa mbele mkoa kwa kodi...
Arusha ilipewa hadhi ya jiji ikiwa pamoja na Mbeya na Tanga, we unadhani kwanini ilipokwa hadhi ile...?! Baada ya kurekebisha mambo fulani ndio ikawa swadakta...
Fact za bwana Fisadi zina deal na kodi ya TRA pamoja na HDI...