Hata kama ni issue cmplcted but naamin zipo, hzo formula unazodai naamin zipo kwa ajli ya kujibu such qn kama hutaona shida bas zitumie ili unijibu....kama uwezo wako umeishia kwenye data za mkoa basi....ni ukweli usiopingika kuwa wananchi Wa mkoa Wa mwanza ni maskini na ndo mana kwenye data za NBS, karbu kila sector Mwanza imelag behind five or more regions kama sikosei....but jiji la Mwanza performance yake ni kubwa sana, na wewe unalidharau kwa kuwa limebeba jukumu la mkoa mzima, ukianzia sengerema, kwimba, magu na ukerewe hakuna kitu kabisa na si ajabu wiaya zote hzo zikachangia only 4billion per year kwenye mkoa....mkoa arusha una vivutio kama , ngorongoro creator, riftvalley, national park, national reserve, mount meru, pia biashara ipo Chuga, madini nayo usiseme, sector ya uvuvi ipo, na sector ya agriculture pia Ipo....tourism yenyewe ipo kwenye top three ya sector zinazoingiza pato kwa kiwango cha juu, thus y Chuga ipo juu kimapato...Mwanza Hamna kitu zaid ya uvuvi na biashara.....naamini Mwanza ipo namba nne kwenye rank za tax bcse of Mwanza city.....ndo mana nikasema twende ndan zaid tuangalie miji na majiji yanacontribute kias gan ktk kodi? Tusiishie kwenye mkoa tuuu..... Mi ndo hoja yangu imejikita hapo...na kama hakuna official report bas hyo ni error ya TRA....huwez kuliponda jiji la Mwanza kwa takwimu za mkoa...mana kama ni hvyo bas mwmza inatakiwa iwe manispaa na mosh iwe jiji kitu ambacho si kweli....