hasason
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 1,648
- 1,542
Ngoja nikwambie mkuu, tukiangalia takwimu za majiji arusha haina nguvu mkuu...arusha ni mkoa Wa pili kwa mapato ya kodi na mwanza ni ya nne, arusha ipo kat ya mikoa mitatu yenye ahueni ya uchumi na Mwanza ipo kt ya mikoa mitano yenye hali mbaya kiuchumi....sasa inakuwaje watu maskini wanapandisha mkoa mpaka namba nne kwa kodi? Hapo utagundua kuwa Mwanza city ndo inayochangia 98% ya makusanyo ya mkoa, arusha pale mjin kat hakuna kitu, tanzanite na tourism attraction ndo vinabeba ambavyo havipo pale mjini kat...ila vinaingizwa kwenye mapato ya mkoa, kuanzia tanzanite mpak mbuga za wanyama, kuna lodge nying tu nzur zpo nje ya mji na zingine mbugani...mkoa Wa mwnza hauna kingine zaid ya biashara inayofanyika mjini kat, per day watu takriban lak saba huingia na kutoka kwa ajil ya biashara...hakuna hotel ya maana nje ya jiji, makusanyo ya kodi ya mkoa yamebebwa na mji, Hvyo mji hautegemei wakazi Wa mkoa cjui umenielewa....
Ngoja nikwambie mkuu, tukiangalia takwimu za majiji arusha haina nguvu mkuu...arusha ni mkoa Wa pili kwa mapato ya kodi na mwanza ni ya nne, arusha ipo kat ya mikoa mitatu yenye ahueni ya uchumi na Mwanza ipo kt ya mikoa mitano yenye hali mbaya kiuchumi....sasa inakuwaje watu maskini wanapandisha mkoa mpaka namba nne kwa kodi? Hapo utagundua kuwa Mwanza city ndo inayochangia 98% ya makusanyo ya mkoa, arusha pale mjin kat hakuna kitu, tanzanite na tourism attraction ndo vinabeba ambavyo havipo pale mjini kat...ila vinaingizwa kwenye mapato ya mkoa, kuanzia tanzanite mpak mbuga za wanyama, kuna lodge nying tu nzur zpo nje ya mji na zingine mbugani...mkoa Wa mwnza hauna kingine zaid ya biashara inayofanyika mjini kat, per day watu takriban lak saba huingia na kutoka kwa ajil ya biashara...hakuna hotel ya maana nje ya jiji, makusanyo ya kodi ya mkoa yamebebwa na mji, Hvyo mji hautegemei wakazi Wa mkoa cjui umenielewa....
Unaongea empties hamna official report zinazokutetea yaani unafanya imagination alafu kibaya zaidi unatafsiri critical economic interpretation in such a very layman way
huwezi kutafsiri regional economy into city economy kwa namna nyepesi hivyo zipo formula unatakiwa uziapply hapo na hautapata jibu unless you obtained peripheral district collection ambazo obviously ni ndogo ukilinganisha na za jiji hivyo still you will fall on the same trap.

