chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,318
- 45,127
Mani kakwambia unakimbia tuliza kiherehere hapo ule facts za USO we kenge wa Bismarck.Fisadi kuu mbna umeniletea mburura sana...daaah we ni mshamba kwel kwel ngoja nikalale....najua Chuga kuna vitu vizur...tafuta tafuta bas....sio kutuletea pagale za kawaida sana hata mosh zipo za kumwaga
Mkuu wala usihangaike kushambulia.. Mwambie akuwekee analoliita pagala la kishamba kutoka Mwanza. Kama hatakuwekea vile vijumba vya milimani kule hahahahaha... Mwanza nzima nyumba nzuri ni hizi pekeeHapa ndio umefika kama unataka mamega pixels tuliza kirambas tu.View attachment 404528 View attachment 404529 View attachment 404530
Ahahahaa atatoa wapi cha kuweka kila kona vyoo vya majamvi na masalfeti Mwanza hawana tofauti na India kwenye vyoo kwao hill ni jambo la anasa.Mkuu wala usihangaike kushambulia.. Mwambie akuwekee analoliita pagala la kishamba kutoka Mwanza. Kama hatakuwekea vile vijumba vya milimani kule hahahahaha... Mwanza nzima nyumba nzuri ni hizi pekee
Hakuna picha watakuwekea zaidi ya hizi na zile nyingine mbili...
Haina stendi ya maana si ya daladala wala mabasi, maendeleo kama yanaenda kwa kusua sua, boda boda mmoja kaniambia angendelea mkwere wangekua mbali,
ila mwenyeji mmoja kaniambia atanionyesha sehemu kadhaa zitakazonifanya niamini kwamba Moshi kwa Arusha si chochote,
Japo upande wa population naona wapo vizuri, kama upo Arusha niambie ni wapi nikienda nitapiga salute na kuacha kufananisha huu mji na sehemu za kawaida, asanteni, ila kwa muda wote niliokaa Arusha nimeshangaa sana uzuri wa sura wa mabinti hadi nikatengeneza principal kwamba ukiwa Arusha angalia shape tu sura wengi wazuri kama siyo wote, Arusha na Singida si mchezo kwa upande huwo, maendeleo yapigianeni, Japo njiro na baadhi ya maeneo ni pazuri pia, Unga limited nasikia hapapitiki usiku ni shida, shivers nilikaribishwa nimmepaona lakini hicho siyo kiashiria cha maendeleo Japo kuna wadada wazuri hataree
Maana hapa amebaki kupiga kelele tu...Ahahahaa atatoa wapi cha kuweka kila kona vyoo vya majamvi na masalfeti Mwanza hawana tofauti na India kwenye vyoo kwao hill ni jambo la anasa.
ARUSHA stand ya busHaina stendi ya maana si ya daladala wala mabasi, maendeleo kama yanaenda kwa kusua sua, boda boda mmoja kaniambia angendelea mkwere wangekua mbali,
ila mwenyeji mmoja kaniambia atanionyesha sehemu kadhaa zitakazonifanya niamini kwamba Moshi kwa Arusha si chochote,
Japo upande wa population naona wapo vizuri, kama upo Arusha niambie ni wapi nikienda nitapiga salute na kuacha kufananisha huu mji na sehemu za kawaida, asanteni, ila kwa muda wote niliokaa Arusha nimeshangaa sana uzuri wa sura wa mabinti hadi nikatengeneza principal kwamba ukiwa Arusha angalia shape tu sura wengi wazuri kama siyo wote, Arusha na Singida si mchezo kwa upande huwo, maendeleo yapigianeni, Japo njiro na baadhi ya maeneo ni pazuri pia, Unga limited nasikia hapapitiki usiku ni shida, shivers nilikaribishwa nimmepaona lakini hicho siyo kiashiria cha maendeleo Japo kuna wadada wazuri hataree
ARUSHA safari city on the wayHaina stendi ya maana si ya daladala wala mabasi, maendeleo kama yanaenda kwa kusua sua, boda boda mmoja kaniambia angendelea mkwere wangekua mbali,
ila mwenyeji mmoja kaniambia atanionyesha sehemu kadhaa zitakazonifanya niamini kwamba Moshi kwa Arusha si chochote,
Japo upande wa population naona wapo vizuri, kama upo Arusha niambie ni wapi nikienda nitapiga salute na kuacha kufananisha huu mji na sehemu za kawaida, asanteni, ila kwa muda wote niliokaa Arusha nimeshangaa sana uzuri wa sura wa mabinti hadi nikatengeneza principal kwamba ukiwa Arusha angalia shape tu sura wengi wazuri kama siyo wote, Arusha na Singida si mchezo kwa upande huwo, maendeleo yapigianeni, Japo njiro na baadhi ya maeneo ni pazuri pia, Unga limited nasikia hapapitiki usiku ni shida, shivers nilikaribishwa nimmepaona lakini hicho siyo kiashiria cha maendeleo Japo kuna wadada wazuri hataree
Kweli tatizo la vyoo limepata mbadala saivi ni express za toilet bags hahhahaa.Hapana 70% ya wakazi wa jiji wana Huduma ya maji iwe mlinani au bondeni.....changamoto ilikuwa ni matumizi ya vyoo ila sa hv tatizo hilo ni almost zero
We kumbe n bogus....unabishan wakati hata arusha hupajui...sasa haufaham hata arusha kuna traffic lights sehemu ngap umekalia ubishi tu wa kipimbi...!Hakuna kitu kama hcho zpo kama mbil kama skosei...
Haina stendi ya maana si ya daladala wala mabasi, maendeleo kama yanaenda kwa kusua sua, boda boda mmoja kaniambia angendelea mkwere wangekua mbali,
ila mwenyeji mmoja kaniambia atanionyesha sehemu kadhaa zitakazonifanya niamini kwamba Moshi kwa Arusha si chochote,
Japo upande wa population naona wapo vizuri, kama upo Arusha niambie ni wapi nikienda nitapiga salute na kuacha kufananisha huu mji na sehemu za kawaida, asanteni, ila kwa muda wote niliokaa Arusha nimeshangaa sana uzuri wa sura wa mabinti hadi nikatengeneza principal kwamba ukiwa Arusha angalia shape tu sura wengi wazuri kama siyo wote, Arusha na Singida si mchezo kwa upande huwo, maendeleo yapigianeni, Japo njiro na baadhi ya maeneo ni pazuri pia, Unga limited nasikia hapapitiki usiku ni shida, shivers nilikaribishwa nimmepaona lakini hicho siyo kiashiria cha maendeleo Japo kuna wadada wazuri hataree
Hapo ni Lake Duluti Serena Hotel acha umwanza.Ha ha haaaaa...sio ngurudoto....jipange af urud
Hahahahaaaaaa aiseeeAcha uongo wewe, hapo ni San Fransisco Marekani hahahahahahahahaha
Huyo tokea aje na Lori la Dagaa miaka ya 2012 hakurudi tena usimshangae sana kiongozi.We kumbe n bogus....unabishan wakati hata arusha hupajui...sasa haufaham hata arusha kuna traffic lights sehemu ngap umekalia ubishi tu wa kipimbi...!
Hahhahaaa hizo watazimiliki tu ndotoni.Mwanza wakiweka sehemu iko hivi naomba nipigwe life ban... hahahahahaha
Sababu kubwa ya nyumba nyingi arusha kua na vioo ni barid.Mazuri yapo mengi ila nimeshangaa nyumba inaweza ikawa haijaisha vizuri lakini ina vioo aluminum
Mkuu unata kuniambia wamo watu huko ndani???????Unaonaga Wascottish wanavyovaa visketi?? Yani huo ni utambulisho wa machalii wa Arusha.. Inaitwa minyonyoo
Hivi humu wanaishi watu au??
Fact.Acheni uzombie nyie...sasa huu ndo ujanja...I thkn am discussing with nonsense guys
View attachment 404465View attachment 404466View attachment 404467
Kwahiyo sababu Mwanza traffic lights IPO moja tu unafikiri na Arusha zipo chache?Hakuna kitu kama hcho zpo kama mbil kama skosei...
spark dog anaimba matusi bangi tupuYaani nimeshindwa hata kukudefine, nimekuuliza ni mwana hip hop gani anayeimba matusi hebu nijibu acha kuleta porojo ambazo sijakuuliza