Nilichogundua kuhusu Arusha

Rekebisha hapo usilinganishe Mwanza na hicho kijiji chenu cjui mnakiita Arusha.
Kwa ambaye haijui hiyo mikoa vzr anaweza kukusikiliza, ila kwa mm nisiyekaa mwezi bila kutinga Mwanza/Arusha naelewa vzr nn ninachokisema
 
Dom imekuja juu sana baada ya kujengwa UDOM na hizo barabara za IRINGA, SINGIDA na KONDOA! Imekuwa kwa haraka zaidi na hili la kuihamishia serikali huko ndo utasababisha mji ufurike
Huenda
 
Jiji halijapangiliwa kabisa at least njiro, moshono,sakina

Nenda kijenge,ungaltd matejo,eso daraja2 na kwingine utashika kichwa unplaned + uchafu mzee
Miji yote ina maeneo yaliyopangwa vizuri na mengine yapo hovyo hovyo,, nenda nairobi hapo karibu zaidi, kaisome namba kibera😉
 
Asie na elimu nani?
kuna ndege ya abiria inafanya safari Arusha mwanza ,Dar na kwingineko??? From Arusha sio KIA

Hv uwanja wa ndege kubwa kujengwa kwenye makazi ya watu ni sifa. Najaribu tu kujiongeza😵😵😵

Viwanja vya ndege kubwa ni vyema kujengwa mbali na makazi ya watu kuondoa noisy pollution. So uwanja wa ndege KIA upo sehemu stahili kabisa for enviromental purpose.

Ila kaakili kakiwa kafupi mtu aweza waza uwanja wa ndege unatakiwa kuwa katikati ya mji. Kama viwanda jinsi vinatakiwa kuwa mbali na makazi ya watu vivyo hvyo na viwanja vya ndege..
 
Ona sasa mtu mzima unanizidi miaka 50 afu unaleta utoto aagrrr shkamoo kwanza....
Hoja hujibu unaruka ruka tu ,nishasafiri mara mbili nakata tiketi za precision kwenda mwanza ila tunapanda costa hadi KIA sasa kwanini hatuanzii safari Arusha?????
Kuna Precision inatua pale Kisongo...
 
Kuna Precision inatua pale Kisongo...
Sio swala la kutua kama ni ndege kutua hata njiwa wanatua hapo ,kwanini hamna ndege za kueleweka zinazoanzia safari hapo? Vindege vya hapo kisongo ni vile vidogo vidogo sio za abiria ARUSHA HAKUNA UWANJA NA STAND
 
Nani kasema uwanja ujengwe kwenye makazi???
 
Mi sio mkazi wa arusha najiulizaga tu hilo swali arusha hakuna uwanja wala stand kwanini
 
Kila mkilala mnawaza Arusha mbona sijasikia Iringa Mbeya Mara Mwanza na kwingineko
Arusha wako mbele ya mikoa mingi wanajitambua sana walee hata viongozi wakuu wa nchi wakienda wanaangalia waseme nn si kusema ovyooo tu
 
Acha kubishana, Arusha ni sehemu ya Utalii. Hata Stand ya mabasi ilivyo ni utalii tosha na muonekano wa watu wa pale ni utalii pia. Si kuna watalii wengi wanakuja kuangalia jinsi watu wanavyoishi na wanyama
 
Sio swala la kutua kama ni ndege kutua hata njiwa wanatua hapo ,kwanini hamna ndege za kueleweka zinazoanzia safari hapo? Vindege vya hapo kisongo ni vile vidogo vidogo sio za abiria ARUSHA HAKUNA UWANJA NA STAND
Nafikiri hats ndege unaionaga tu kwenye TV unasema ulishafika Arusha precision wakakupakia kwenye shuttle KIA wakati hats Arusha airport wanapakia na kushusha?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…