Ndevu mbili
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 379
- 42
Members JF!
Habari.
Nashukuru niliomba maelekezo ya kujua magazeti ya kusoma pia stations za kupata habari.
Ila nilishindwa hata kuitumia phone yangu so nimeshindwa kuwasiliana kipindi nlichokuepo huko Bongo.
Ni kwetu kuna jamaa zangu wengi lakini si vibaya kusema''nawashukuru'' kwa yote mlionielekeza lakini nilikaa huko siku 3 nkarejea na maswali mengi.
1-Nimekuja muda si muafaka?
2-Matatizo kama ndio hayo uhakika wa maendeleo itakuaje? Maana umeme wa uhakika shida na vitu vingi vinahitaji umeme ...bara bara jams ,maji hakuna uhakika ...
Nimesikitika zaidi nilipanga kuonana na members ana kwa ana.
Nilikua muoga maana sikuwa na bodyguard.
Ahsanteni.
Habari.
Nashukuru niliomba maelekezo ya kujua magazeti ya kusoma pia stations za kupata habari.
Ila nilishindwa hata kuitumia phone yangu so nimeshindwa kuwasiliana kipindi nlichokuepo huko Bongo.
Ni kwetu kuna jamaa zangu wengi lakini si vibaya kusema''nawashukuru'' kwa yote mlionielekeza lakini nilikaa huko siku 3 nkarejea na maswali mengi.
1-Nimekuja muda si muafaka?
2-Matatizo kama ndio hayo uhakika wa maendeleo itakuaje? Maana umeme wa uhakika shida na vitu vingi vinahitaji umeme ...bara bara jams ,maji hakuna uhakika ...
Nimesikitika zaidi nilipanga kuonana na members ana kwa ana.
Nilikua muoga maana sikuwa na bodyguard.
Ahsanteni.