Niliahidi kuja Tz...mh! nilioyaona!

Niliahidi kuja Tz...mh! nilioyaona!

Ndevu mbili

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2011
Posts
379
Reaction score
42
Members JF!
Habari.
Nashukuru niliomba maelekezo ya kujua magazeti ya kusoma pia stations za kupata habari.
Ila nilishindwa hata kuitumia phone yangu so nimeshindwa kuwasiliana kipindi nlichokuepo huko Bongo.
Ni kwetu kuna jamaa zangu wengi lakini si vibaya kusema''nawashukuru'' kwa yote mlionielekeza lakini nilikaa huko siku 3 nkarejea na maswali mengi.
1-Nimekuja muda si muafaka?
2-Matatizo kama ndio hayo uhakika wa maendeleo itakuaje? Maana umeme wa uhakika shida na vitu vingi vinahitaji umeme ...bara bara jams ,maji hakuna uhakika ...
Nimesikitika zaidi nilipanga kuonana na members ana kwa ana.
Nilikua muoga maana sikuwa na bodyguard.
Ahsanteni.
 
Ahahahahaaah!! Bodyguard wa nini wewe!!
 
Majitu mengne bwana,kwani uliombwa uje huku??2ache na shida ze2 bana,we endelea 2 kupga box huko uliko.
 
Majitu mengne bwana,kwani uliombwa uje huku??2ache na shida ze2 bana,we endelea 2 kupga box huko uliko.
Ha ha ha hiyo kazi unaijua peke yako.Niliwahi huku nlipo mwenzio.Poleni sana.
 
Members JF!
Habari.
Nashukuru niliomba maelekezo ya kujua magazeti ya kusoma pia stations za kupata habari.
Ila nilishindwa hata kuitumia phone yangu so nimeshindwa kuwasiliana kipindi nlichokuepo huko Bongo.
Ni kwetu kuna jamaa zangu wengi lakini si vibaya kusema''nawashukuru'' kwa yote mlionielekeza lakini nilikaa huko siku 3 nkarejea na maswali mengi.
1-Nimekuja muda si muafaka?
2-Matatizo kama ndio hayo uhakika wa maendeleo itakuaje? Maana umeme wa uhakika shida na vitu vingi vinahitaji umeme ...bara bara jams ,maji hakuna uhakika ...
Nimesikitika zaidi nilipanga kuonana na members ana kwa ana.
Nilikua muoga maana sikuwa na bodyguard.
Ahsanteni.
jKwanini unahitaji bodyguard?
 
Members JF!
Habari.
Nashukuru niliomba maelekezo ya kujua magazeti ya kusoma pia stations za kupata habari.
Ila nilishindwa hata kuitumia phone yangu so nimeshindwa kuwasiliana kipindi nlichokuepo huko Bongo.
Ni kwetu kuna jamaa zangu wengi lakini si vibaya kusema''nawashukuru'' kwa yote mlionielekeza lakini nilikaa huko siku 3 nkarejea na maswali mengi.
1-Nimekuja muda si muafaka?
2-Matatizo kama ndio hayo uhakika wa maendeleo itakuaje? Maana umeme wa uhakika shida na vitu vingi vinahitaji umeme ...bara bara jams ,maji hakuna uhakika ...
Nimesikitika zaidi nilipanga kuonana na members ana kwa ana.
Nilikua muoga maana sikuwa na bodyguard.
Ahsanteni.

Asumani ndavanda go to ze river. Mamba kumkamata kumsolasola, matumbo na maundi yote finish....
 
sijaelewa hapa.......Ndevu mbili......nini tatizo?
 
sijaelewa hapa.......Ndevu mbili......nini tatizo?
Preta !Matatizo nimeyataja...nilikua naja kwa matayarisho ya kuanzisha uzalishaji. Nimerejea labda watakuja wenzangu mara nyingine.Nimewakilisha ahadi nilio ahadi humu kwa wana JF.
 
Preta !Matatizo nimeyataja...nilikua naja kwa matayarisho ya kuanzisha uzalishaji. Nimerejea labda watakuja wenzangu mara nyingine.Nimewakilisha ahadi nilio ahadi humu kwa wana JF.

okay.....labda wakati unatoa hiyo ahadi nilipitwa.......lakini......mmmh
 
Mazee ina maana muda wote hujui matatizo ya umeme bongo? Au ndiyo nyie type za kukaa miaka miwili Albania huko tayari unasema "Nimesahau Kiswahili" ?
 
Utajuaje kama yupo huko na alikuja????Yupo mwenzie leo katangaza kugongewa viza hapahapa na sridi ameianzisha........
Mazee ina maana muda wote hujui matatizo ya umeme bongo? Au ndiyo nyie type za kukaa miaka miwili Albania huko tayari unasema "Nimesahau Kiswahili" ?
 
Members JF!Habari.Nashukuru niliomba maelekezo ya kujua magazeti ya kusoma pia stations za kupata habari.Ila nilishindwa hata kuitumia phone yangu so nimeshindwa kuwasiliana kipindi nlichokuepo huko Bongo.Ni kwetu kuna jamaa zangu wengi lakini si vibaya kusema''nawashukuru'' kwa yote mlionielekeza lakini nilikaa huko siku 3 nkarejea na maswali mengi.1-Nimekuja muda si muafaka?2-Matatizo kama ndio hayo uhakika wa maendeleo itakuaje? Maana umeme wa uhakika shida na vitu vingi vinahitaji umeme ...bara bara jams ,maji hakuna uhakika ...Nimesikitika zaidi nilipanga kuonana na members ana kwa ana.Nilikua muoga maana sikuwa na bodyguard.Ahsanteni.
Si ajabu na mbwembwe zote hizi unatokea Zaire au Sudani, anyway au pakistan lakini unataka kila mtu ajue kuwa umepanda ndege haya syco tumejua tayari
 
Utajuaje kama yupo huko na alikuja????Yupo mwenzie leo katangaza kugongewa viza hapahapa na sridi ameianzisha........

Waacheni wabwate, wengine safari ndio wanaanza na walikuwa hawana ndoto hata za kutoka kijijini kwao. Kwa hiyo hata the basics of netiquette na decorum hawajui.

Unasoma thread unaona kabisa huyu mtu katoka chini ya jiwe. Wewe unasafiri unaenda mpaka bongo ndiyo unajua kuna tatizo la umeme? Huna utashi au internet?

Au ndiyo kutukoga tu siye wengine kina Kakamiye?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom