Niliahidi kuja Tz...mh! nilioyaona!

Labda huyu jamaa ni muhudumu wa kwenye ndege ya kikwete, kila siku haipo tz
ndoyo maana haijui bongo
 
Huyu jamaa nathani ni muhudumu kwenye ndege ya kikweta,kila siku ipo safarini
ndiyo maana hajui na hataki kujua hali ya bongo
 
Ndevu mbovu;To some extent, nimejifunza namna unavyopata shida ku-cope na maisha uliyokuwa nayo ambayo uliyaacha hapa kwenu Tanzania,... yes, unaenda na wakati,...mabadiliko.Kwa upande mwingine nimejifunza ni namna gani ulivyo comfortable na hii situation ya shida zilizokushinda wewe hapa, kwa wengine ambao wanaendele nazo mpaka mda huu "vinahitaji umeme ...bara bara jams ,maji hakuna uhakika ...". As such siyo kwmba unalalmikia maendeleya nchi kuwa unaguswa na hali iliyopo, ila unatamba na kuifurahia kimoyomoyo kwa wale tunaoendelea kui-face. Hata hivyo tungeliweza kukuonea huruma sana kama tungegundua kuwa huko uliko pengine unabeba maboksi, ni mkata nyasi au ni loiterer ambaye ukiambiwa f**k* you inabidi useme ahsante, la unaweza ukapigwa risasi. ".........................HAKUNA UMASKINI MKUBWA DUNINAI KAMA UMASIKINI WA MAWAZO,.. J.K. NYERERE
Huyu Ndefu Mbili mnamuonea wivu tu!Ameeleza alichoona kwake kimemuumiza ...na hapa mchangiaji umefaham wazi...mbona una mgeukia kwa mashambulizi???Kueni wenye kukubali ukweli.Nami nlipenda kujifunza mawazo kutoka kwake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom