structuralist
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,231
- 906
Mkuu hoja yako haiendani na imani ya kiisilam. Kwanza umediriki kusema mwanamke hana dini, hili umelitoa wapi? Je uisilamu ndivyo unavosema?Ama umetumwa kuja chokoza au una lako jambo. Weye ndo wajua ulichowasilisha?? Nifumbue macho
Pili ulijibu kwa kdhihaka, hili halipo katika Uisilam. Hivyo ni wazi kuwa hapo hukuwa sahihi.
Naishia hapo mkuu natumaini umenielewa na sikuwa na lengo baya.