Borderlandz
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 548
- 729
well 35-45 mtengeneze wa kwako, hamtaki wanaotafuta maisha mnataka wenye maisha, kila lakheri lawyer.
Wabilahi tawfiqMie ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi ...nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani...mkristo,na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45..
thanks dearInsha Allah utapta , achana na wanaokuvunja moyo
Wengi sana waongokwanini
Ungefanya la maana sana kama ungeweka na picha ili tukukue zaidi isijekuwa wewe ni bibi bombaMie ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi ...nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani...mkristo,na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45..
ok asanteWengi sana waongo
ndiyoKwa Islamic....
Je, upo tayari kuletewa mke mwenzio?
ndiyoUpo tayari kuwa mke wa pili tuyajenge?
Huo umri ndio wanaume wengi huwa wamekomaa ktk mambo mengi.Wanawake Wanaamini Mwanaume Mwenye Miaka 35-45 Ndiyo Mume Bora Kuliko Anayeringana Naye Umri,kweli Akili Za Mwanamke Ni Sawa Na Kopo
Uongo ni profession ya kizazi hiki sio dini especially when they are not learned onesWengi sana waongo
You are very rightHuo umri ndio wanaume wengi huwa wamekomaa ktk mambo mengi.
yes my dearHuo umri ndio wanaume wengi huwa wamekomaa ktk mambo mengi.
napenda dini ya kiislamDada, hivi unajua unachokitamani?? Huko kwenye dini yako ya kikristo umekosa mume au wamekunanihii sana?? Poleni jamani ila ningelikuwa ni miye, ningesema; Namtafuta mume mtarajiwa tu
hahahaha okayPoa basi bibie. Ngoja niongee na memsaheeb kama atakubali ndoa mbili.
nitabadili diniAkiwa muislamu ww mkristo inakusaidia nn..................