Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,130
- 34,099
Swaaafi!!!Dada, hivi unajua unachokitamani?? Huko kwenye dini yako ya kikristo umekosa mume au wamekunanihii sana?? Poleni jamani ila ningelikuwa ni miye, ningesema; Namtafuta mume mtarajiwa tu
Swaaafi!!!Dada, hivi unajua unachokitamani?? Huko kwenye dini yako ya kikristo umekosa mume au wamekunanihii sana?? Poleni jamani ila ningelikuwa ni miye, ningesema; Namtafuta mume mtarajiwa tu
Nawewe ni muislam?Dada,
Kwani kuipenda dini ya kiislam uliambiwa ni lazima uolewe kwanza ndo usilimu?? Kwanza nnani kakuambia kuwa mwanamke ana dini?? Si waweza kuolewa na yeyote na bado ukajisilimisha tu?? Acha kudhalilisha dini pendwa. Hatupokei waliokwisha chakachuliwa.
Nawewe ni muislam?
Hayo mengine ya kumpenda mola wako na Mtume wako mimi sijakuulizaTena swafiy naipenda dini yangu, Mola wangu naye Mtume wake Muhamad SWA
Kama upo tayari kuolewa na Muslim Mimi nipo tayari kukuoa sababu dini yetu inaruhusu msichana kupendekeza wa kumuoaMimi ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani mkristo, na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45.
Mashaallah. Tuma Picha pmndiyo
Mimi ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani mkristo, na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45.
Prove kauli yakoNi vizuri pia ukafanya utafiti wa sababu za uislaam kuruhusu wanaume kuruhusiwa kuoa wanawake wasio waislam na kuua wanawake wanao olewa na wasio waislam. Angalia usije ukawa ni suna.
Hayo mengine ya kumpenda mola wako na Mtume wako mimi sijakuuliza
Nilichokuuliza ni je na wewe ni Muislam?
Ni sawa ila hukutakiwa kujibu beyond the requirements,Mkuu, Jibu langu ndo linavyo jitosheleza beyond.
Nimejaribu kumwambia kigezo kikuu kwenue dini ya kiislam hivyo vingine ni ziada. Usilete mambo ya udini hapa mambo ya dini nyingine nayajulia wp nawakati mm sio muumin wa hiyo dini. Acha usoroUna uhakika kuwa huyu si mcha Mungu?
Je Wakristo hawaangalii mcha Mungu?
Wewe unaonekana kuwa na uelewa mdogo sana.Nimejaribu kumwambia kigezo kikuu kwenue dini ya kiislam hivyo vingine ni ziada. Usilete mambo ya udini hapa mambo ya dini nyingine nayajulia wp nawakati mm sio muumin wa hiyo dini. Acha usoro
Unaniuliza swali la dini ambayo hainihusu ulitaka nikujb nn, Nshakustukia unafikiria kwa kutumia makalio hivyo sitaendelea kubishana na na ww BashiteWewe unaonekana kuwa na uelewa mdogo sana.
Nimekuulizwa swali, hujajibu unaanza kuleta maelezo mareeefu yasohitajika.
Ewe kijana wa bwn. mudy, ni kwanini usijibu swali unaloulizwa?Unaniuliza swali la dini ambayo hainihusu ulitaka nikujb nn, Nshakustukia unafikiria kwa kutumia makalio hivyo sitaendelea kubishana na na ww Bashite
Prove kauli yako
Umri huo wengi washaoa! Waliobaki ni wale wenye matatizo ya full kujiachia kwa totoz! Utawaweza?Huo umri ndio wanaume wengi huwa wamekomaa ktk mambo mengi.