okwell 35-45 mtengeneze wa kwako, hamtaki wanaotafuta maisha mnataka wenye maisha, kila lakheri lawyer.
napenda dini ya kiislam
Nifuate pm kama upo tayari kuwa mke wa pili ,mm nipo ok!Mie ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi ...nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani...mkristo,na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45..
Ni dhahiri hujui unachoongea. Dada yupo sahihi.Dada,
Kwani kuipenda dini ya kiislam uliambiwa ni lazima uolewe kwanza ndo usilimu?? Kwanza nnani kakuambia kuwa mwanamke ana dini?? Si waweza kuolewa na yeyote na bado ukajisilimisha tu?? Acha kudhalilisha dini pendwa. Hatupokei waliokwisha chakachuliwa.
Wanawake Wanaamini Mwanaume Mwenye Miaka 35-45 Ndiyo Mume Bora Kuliko Anayeringana Naye Umri,kweli Akili Za Mwanamke Ni Sawa Na Kopo
ndio shida wa wa Tanzania...sijui tupoje anyway nashkuru kwa ku commentDada,
Kwani kuipenda dini ya kiislam uliambiwa ni lazima uolewe kwanza ndo usilimu?? Kwanza nnani kakuambia kuwa mwanamke ana dini?? Si waweza kuolewa na yeyote na bado ukajisilimisha tu?? Acha kudhalilisha dini pendwa. Hatupokei waliokwisha chakachuliwa.
Atupie kapicha tuone kama kweli maremboHivi unawezaje kusema "Mimi ni mrembo" Hahahahahahahaaaaa all the best. Vijana fursa hio
atakae bahatika atanionaAtupie kapicha tuone kama kweli marembo
Weka pic aise acha kututaniaMie ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi ...nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani...mkristo,na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45..
Sawa mkuu mi nakutakia utafutaji mwema na mungu akufanikishieatakae bahatika ataniona
Matusi hayoWanawake Wanaamini Mwanaume Mwenye Miaka 35-45 Ndiyo Mume Bora Kuliko Anayeringana Naye Umri,kweli Akili Za Mwanamke Ni Sawa Na Kopo
ni pmMie ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi ...nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani...mkristo,na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45..
Heeeh, baada ya ndoa utakuja kuomba ushauri et nimeolewa na aliyenizd umri, alaf utasema hufik kilimanjaro,Mie ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi ...nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani...mkristo,na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45..
Hivi yule bwana uliyekuwa nae mwanzo kwenye post yako ya kwanza mmeachana? Maana alikuwa anakuhudumia sanaMie ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi ...nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani...mkristo,na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45..