Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,151
- 159,076
Sio kweli.Umri huo wengi washaoa! Waliobaki ni wale wenye matatizo ya full kujiachia kwa totoz! Utawaweza?
Sio kweli.Umri huo wengi washaoa! Waliobaki ni wale wenye matatizo ya full kujiachia kwa totoz! Utawaweza?
You have used some rude statements in sending your application. Please, revised and resend it
Memezndio shida wa wa Tanzania...sijui tupoje anyway nashkuru kwa ku comment
Wewe ni muislam?kama ni muislam hairuhusiwi kufanya hicho unachokifanya!Kama upo tayari kuolewa na Muslim Mimi nipo tayari kukuoa sababu dini yetu inaruhusu msichana kupendekeza wa kumuoa
Kwangu haijalishi hata kama utaamua kubaki ndani ya ukristo wako isipokuwa endapo nitakufa hautaweza kurithi Mali zangu japo sina Mali
Lakini hata watoto hawatakuwa na sehem ya mirathi toka kwako kama hautobadili dini
Mimi haijarishi Shep yako na sura yako si kigezo cha kukuhitaji wewe
Kigezo bora kwangu ni wewe kuwa radhi kuolewa na kuishi katika ndoa na kukubali hari zote zinazoweza kujitokeza katika uhusiano wetu..
Sasa kwani Tanzania ni Sudani? Weka relevant facts.Kunamwanamke sudan alitaka kunyongwa kwa kuolewa na mkristo. Alipona baada ya internation community kuweka pressure serekali ya sudani isitekeleze azabu. Huko pakistan, aflighanistan na saudi awacheleweshi kuchinja
Kila mume anavigezo vyake aendelee kuamini ni mremboHivi unawezaje kusema "Mimi ni mrembo" Hahahahahahahaaaaa all the best. Vijana fursa hio
Mashaallah Mungu akupe imani ktk maisha yako.ndio maana nawapenda
Utabadili dini au unataka tu mume awe Muislamu na wewe ubaki kuwa Mkristo?ndio maana nawapenda
Mimi ni mschana wa umri wa miaka 26' mweupe na mrembo kiasi nina degree ya sheria kutoka chuo kikuu flani mkristo, na nitapenda mume wangu mtarajiwa awe na umri wa kuanzia miaka 35_45.
Hizi lugha za watu hizi.... dah!!Maisha magumu ndugu yangu siku hizi hatuoi hovyo hovyo be a patient