Haya dada gfsonwin, njoo uniulize ntaoa lini!!!:nono:
Kwi kwiiiiiii watu8 nimechekaa mpaka bathiii
"ana hashuo la shombo la samaki, maana naona anataka aparwe magamba huyu!!"
Hii kitu unaweza kumpatia mzee Yusufu akaweka ktk mashairi yake. Dadekiiiiiii!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
mungu na anisamehe kwa ushauri wangu huu mbaya ila ndio suluhu pekee itakayomsaidia huyu dada.
iko hivi kuliko kuzaa mtoto ambaye hujui hatma yake kimalezi, na kijamii ni heri usiwe na huyo mtoto. kuliko uje umnyanyase huyo mtoto kwa kuitwa mtoto wa nje, haramu, wa kambo et al tena kwa kukusudia basi ni heri usiwe naye huyo mtoto.
siku zote za maisha yangu huwa naogopa sana dhambi endelevu ama dhambi ya mtambao. dhambi mtambao ina shina moja ila inatambaa almost ukubwa wa available space.
ningekuwa mm wewe ningekula raha za dunia na huyo baba na mtoto nisingezaa na hata hii mimba ningeitoa. ( najua huwez kunielewa ila nafikiri kwa wale waliokula chumvi nyingi kama akina Dark City, Asprin Bishanga wananielewa nisemapo haya maneno
lile soko kubwa kule mwika sindio langoyo sasa there is hometown kwetundo naisikia leo, ni ya kilema au?
Habari zenu. Ni mwaka wa tatu sasa niko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.nilikutana naye nikiwa nafanya dissertation kukamilisha mwaka wangu wa nne wa masomo chuoni, yeye alikuwa anamalizia masters yake, hivyo nilikuwa natumia muda mwingi library pale chuoni na yeye alikuwa anafika library kujisomea so katika harakati hizo ndipo tulipokutana na kufahamiana. Alinieleza ukweli kuhusu kuwa na mke na watoto na akaniomba tuwe wapenzi. Nami nilimweleza kuhusu kuwa na mpenzi aliye nje ya nchi kikazi. Sikumkubalia ombi lake nilimtaka tuwe marafiki tu,alikubali ila akanambia yuko tayari kunisubiri hadi hapo nitakapokuwa tayari kuwa mpenzi wake.tulispend some quality time pamoja kama friends hadi tulipograduate yeye akarudi kazini kwake nami nikapata ajira mapema kwa sapoti yake. Mwaka jana mwezi wa pili ndipo tulipo make love for the first time na tukawa wapenzi oficialy na ananipenda na kuniridhisha. Kadri muda ulivyokwenda nilijikuta nafall deeply in love na huyu mume wa mtu. Inshort nimepoteza mapenzi na boy wangu wa awali na nashindwa kumweleza ukweli nikihofia kumuumiza. Wandugu naombeni ushauri niko njiapanda.nimweleze ukweli mpenzi wangu ama nipotezee? NB:Kumwacha huyu mume wa mtu kwasasa haiwezekani.
Mwanume alitakiwa ajifunze kumwaga nje. Kwani wanaume wengine mnatumia njia gani kuzuia mimba. Mwenzenu zaidi ya miaka 10 tunatumia njia hii na mke wangu wala hajawahi kushika mimba kwa kujisahau. Mwanaume ndio wa kumlaumu.
nawahurumia sana wadogo zangu manake sijui kama mtakutana na wenzi wenye mapenzi ya kweli kama sisi dada zenu.
wakati niko msichana ilikuwa ni sifa njema sana kuolewa na mchumba wako, tena ilikuwa ni heshima zaid kama utaolewa na kutoka kuanza mji wako. siku hizi naona maisha ni tofauti sana manake ni sifa kuwa single parent(ya kujitakia), na niheshima kuingilia miji ya watu.
namshukru sana Mungu kuzaliwa zamani
lile soko kubwa kule mwika sindio langoyo sasa there is hometown kwetu
hivi unajisikiaje kushare mwanaume?yaani unajua kabisa kuwa analala na mwanamke mwingine.Bora hata kama ungekuwa hujui kama kaoaSiwezi kumuua kiumbe asiye na hatia tumekubaliana na yeye and i will have the baby
mungu na anisamehe kwa ushauri wangu huu mbaya ila ndio suluhu pekee itakayomsaidia huyu dada.
iko hivi kuliko kuzaa mtoto ambaye hujui hatma yake kimalezi, na kijamii ni heri usiwe na huyo mtoto. kuliko uje umnyanyase huyo mtoto kwa kuitwa mtoto wa nje, haramu, wa kambo et al tena kwa kukusudia basi ni heri usiwe naye huyo mtoto.
siku zote za maisha yangu huwa naogopa sana dhambi endelevu ama dhambi ya mtambao. dhambi mtambao ina shina moja ila inatambaa almost ukubwa wa available space.
ningekuwa mm wewe ningekula raha za dunia na huyo baba na mtoto nisingezaa na hata hii mimba ningeitoa. ( najua huwez kunielewa ila nafikiri kwa wale waliokula chumvi nyingi kama akina Dark City, Asprin Bishanga wananielewa nisemapo haya maneno
mwalimu hadi ume comment namna hiii daaaaa! hii ishu ni tata kweli kweli.. ingawa mhusika ni kama kajichetua lolz.
hivi unajisikiaje kushare mwanaume?yaani unajua kabisa kuwa analala na mwanamke mwingine.Bora hata kama ungekuwa hujui kama kaoa