Niko njia panda

Niko njia panda

kwakua unasema huwezi kumuacha huyo mume wa mtu basi dhahiri kwamba tayari maamuzi unayo huna haja yakuja kuomba ushauri huku,
 
maamuz unayo ww mwenyewe tambua huyo uliye naye n mume wa mtu hvyo na ww unatakiwa kuwa na mume wako. Ila maisha n vle upendavyo kama umeona kuwachukulia wenzio waume zao n sahh ww endelea ila ujue ipo cku itakugharm.
 
Waebrania 13:4 inasema 'Ndoa na iheshimiwe na watu wote'!!Nakuonya dada ACHANA NA MUME WA MWANAMKE MWENZIO!
 
Jamani ni mkristo ila swala si ndoa bali mapenzi, na huwezi uchagulia moyo yupi wa kumpenda

Dada una uwezo wa huo kwa sababu wewe ni binadamu na sio mnyama! Mbwa hana uwezo huo ila wewe unao! Ebu muogope Mungu wako we mdada jamani lol!
 
Acha ushetani we mwanamke si vyema kuendekeza nyege zako hadi kupelekea kuvunja ndoa za mwenzio pili hebu jichukulie wewe ni yule mkewe wa huyo mzinifu mwenzako ungejisikiaje? Mi nahisi unaugua utahira wa mapenzi kwa kuendekeza nyeg,e zako.KAMA KWELI WE UNAVUTIA NA ELIMU HUWEZI KUNG'ANG 'ANIA MUME WA MTU NDO NYIE MNAOTUFANYA TUONEKANE SISI WANAWAKE HATUNA AKILI KILA SIKU.
kwenye nyekundu nimecheka! mi natamani wanawake wanaoingilia ndoa za wenzao wawe wanachapwa viboko. Wasingekuwa wao wanaume wasingetoka nje!
 
Habari zenu. Ni mwaka wa tatu sasa niko kwenye mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.nilikutana naye nikiwa nafanya dissertation kukamilisha mwaka wangu wa nne wa masomo chuoni, yeye alikuwa anamalizia masters yake, hivyo nilikuwa natumia muda mwingi library pale chuoni na yeye alikuwa anafika library kujisomea so katika harakati hizo ndipo tulipokutana na kufahamiana. Alinieleza ukweli kuhusu kuwa na mke na watoto na akaniomba tuwe wapenzi. Nami nilimweleza kuhusu kuwa na mpenzi aliye nje ya nchi kikazi. Sikumkubalia ombi lake nilimtaka tuwe marafiki tu,alikubali ila akanambia yuko tayari kunisubiri hadi hapo nitakapokuwa tayari kuwa mpenzi wake.tulispend some quality time pamoja kama friends hadi tulipograduate yeye akarudi kazini kwake nami nikapata ajira mapema kwa sapoti yake. Mwaka jana mwezi wa pili ndipo tulipo make love for the first time na tukawa wapenzi oficialy na ananipenda na kuniridhisha. Kadri muda ulivyokwenda nilijikuta nafall deeply in love na huyu mume wa mtu. Inshort nimepoteza mapenzi na boy wangu wa awali na nashindwa kumweleza ukweli nikihofia kumuumiza. Wandugu naombeni ushauri niko njiapanda.nimweleze ukweli mpenzi wangu ama nipotezee? NB:Kumwacha huyu mume wa mtu kwasasa haiwezekani.

Katlego pamoja na kuwa hujapenda ushauri kisana, mimi naomba kabla hujafanya hayo maamuzi, uende ujitambulishe kwa mke wa huyo kaka kuwa unatembea na mumewe, akiridhia, utakuwa huhitaji ndoa.
Pili, najua kwa sasa umezama ndani ya penzi huwezi kunielewa.Kuna siku moja tu utapigwa chini, wanaume wasio vichaa, siku zote tu, baadaye hurudi kwa wake zao, na kutulia. So aliyeko kwenye ndoa yuko salama kuliko wewe.
 
Kama ni starehe tumekula mno na stil tunaenjoy siyo kulala hotelin tu huwa anaspend the whole nit in my apartment hata jana kalala kwangu and he is a decent man msimuite monster and am not a young gal am matured enough

dada katlego inavoonekana hutak kuifanya akili yako ielewe kwamba huyo ni mume wa mtu, kutokana na majib yako mengi ww unaona uko sahihi na hakuna ubaya unaofanya na huyo mwanaume ni halali kuwa wako na atakuwa wako milele. kwnn usifungue akili yako? sometimes ukiufata moyo unapotea. hv umejarib hata kumshirikisha mama yako kidogo tu? kama bado hebu kaa naye uongee naye!!! kwasababu wana jamvi wanajarib kukuelewesha na ww unajifanya mpana kama gagulo la wahindi..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom