Niko njia panda

Niko njia panda

nataka kuzaa na wewe aisee

Yaani Smile hawa watoto wanachefua, fikiri miaka 24 akili kama dogo wa miaka 10 au 12......Mie sitaki kutoa uzao kama hili dume la nyani analolingangania utafikiri ana lovemeter kujua kama linamshobokea kama anavyolipenda.....Ngoja akishajifungua tujiandae kutoa ushauri......Chezea mume wa mtu
 
..dada white mpe mpe mpeeee za uso, wala siioni hiyo njia panda anayoisema,ninachokiona ni mwanamke mpu,,mba..vu.. asiye jua kupanga maisha ..
Huyu dada inaonesha anasoma Ardhi university nimeshangazwa na usomi wake arafu anashindwa kujichagulia maisha nimesikitishwa na mwanamke msomi kama huyu tena mwenye kazi yake anakuwa kama anabahatisha maisha vile.Tafuta cha kwako we mwanamke ulinge nae ya nini uanze na maisha ya wizi wa wame wa wenzio shame on you,Atarogwa kwa kuendekeza nyege zake.
 
anasema yuko njia panda ni ile pale ya himo au marangu mtoni!!!!

Nivea kama tulikuwa pamoja yaani hasa ukiingilia kulia ndiyo umeua bendi, hii ni ile ya Himo kwani ni pana na haionyeshi mwisho.
 
Jamani matusi yenu hayasaidii jamaa amenambia anataka amweleze mkewe, mie nimekubali matokeo nitazaa na kumlea mwanangu kwani wangapi wanazaa nje ya ndoa zao? Its neither the first nor the last
Kwani wewe umezaa nje ya ndoa?ndoa ipi Poor katlego?
 
Last edited by a moderator:
Smile povu la nini? Ushawahi penda wewe? For your info watu wengi wanacheza peku sikuwa na lengo la kuzaa naye imetokea tu na wala sitarajii kuolewa naye

Hahaha another silly comment from you...
Hivi tukianza kutafuta watoka povu, lako si litajaza Jacuzzi la Baths za hoteli zote hapa mjini...
Sasa kama hutarajii kuolewa naye huo si tayari ni UAMUZI uliofikia!!
Kinachokufanya usumbue akili zetu kwa kutuhangaisha kukushauri kwa upuuzi ulioufanya we mwenyewe ni kipi??
Wewe hujitambui, na endelea kutojitambua...na OLE wako umrudie kaka wa watu aliyepo masomoni...Mungu atakushughulikia
 
Jamani matusi yenu hayasaidii jamaa amenambia anataka amweleze mkewe, mie nimekubali matokeo nitazaa na kumlea mwanangu kwani wangapi wanazaa nje ya ndoa zao? Its neither the first nor the last

Wewe fikiri kuhusu POSSIBLE na IMPOSSIBLE things.......Hivi wewe kweli umemaliza chuo au ulidisco.....Hilo la kumwambia mkewe ni IMPOSSIBLE THINGS haiwezekani naapia vile.
 
Huyu dada inaonesha anasoma Ardhi university nimeshangazwa na usomi wake arafu anashindwa kujichagulia maisha nimesikitishwa na mwanamke msomi kama huyu tena mwenye kazi yake anakuwa kama anabahatisha maisha vile.Tafuta cha kwako we mwanamke ulinge nae ya nini uanze na maisha ya wizi wa wame wa wenzio shame on you,Atarogwa kwa kuendekeza nyege zake.
dada white Je,unadhani ukipewa fursa ya kukutana na mke wa huyu Monster utamwambia nini? huyu dada alijitahidi kujizuia ila mzee huyu akatumia uzoefu wa umri wake, akamshinda katlego.na kwa hatua ilipofikia this poor katlego ni kama sikio la kufa, anaamini pia itakuwa rahisi kwa huyu mwanaume kumwambia mkewe kwamba katlego ana mimba yake.Ndiyo uone katlego alivyo immature kwenye suala la mapenzi.
 
Last edited by a moderator:
Dada white nilishagraduate ila sikusoma hiyo university uliyoitaja acha kupaka matope vyuo vya watu stick kwenye mada ni vyuo kibao vinatoa degree za 4 years
 
Take a chill pill dude i respect you
Hahaha another silly comment from you...
Hivi tukianza kutafuta watoka povu, lako si litajaza Jacuzzi la Baths za hoteli zote hapa mjini...
Sasa kama hutarajii kuolewa naye huo si tayari ni UAMUZI uliofikia!!
Kinachokufanya usumbue akili zetu kwa kutuhangaisha kukushauri kwa upuuzi ulioufanya we mwenyewe ni kipi??
Wewe hujitambui, na endelea kutojitambua...na OLE wako umrudie kaka wa watu aliyepo masomoni...Mungu atakushughulikia
 
Achana na Mume wa mtu,siyo sahihi ,haijalishi anakupa raha za dunia ya jehanamu,achana nae,bakia single.
 
Mh! NIMESHTUKA NDUGU! Maana niko huku ughaibuni masomoni,sasa GF aliyeko huko nyumbani siku hizi anazingua. Sasa sijui ni wewe!!!?.I need more time for this
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom